Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,255
- 42,169
Wasalaam wana jamvi!
Baada ya msiba wa Rais mstaafu tulitegemea wasanii wetu ndio watoa faraja wakuu katika kipindi cha maombolezo kwa tungo nzuri zenye mantiki na maana kuu.
Baada ya msiba tumeshuhudia wasanii wakikurupuka kuimba lakini nyimbo ambazo ni mbaya zisizo na mantiki wala maana.
Hakuna msanii ambaye ameimba wimbo ambao unaweza kabisa hata kuitwa huu ni wimbo bora wa kipindi hiki kama ilivyo kuwa kwenye misiba mikubwa ya Ruge Mutahaba na Hayati Nyerere.
Bado najiuliza wasanii wetu waneishiwa vya kuimba? Ni wavivu wa kusoma historia za viongozi wetu? Walishindwa kitumia kitu cha Hayati Mkapa kutunga nyimbo bora?
Hivi kweli TOT wamewazidi wasanii wetu wote lukuki katika kutunga? Au TOT ndio wafatiliaji wazuri? Wasanii wetu ni wavivu wa kutafuta habari?
Bado najiuliza ni wimbo gani mzuri unao uzidi wimbo wa TOT kipindi hiki? Wasanii wetu ni wazi kazi wanayoifanya hawakuitendea haki? Ni haki kuitwa wafanyakazi hewa?
Wasalaam!
Baada ya msiba wa Rais mstaafu tulitegemea wasanii wetu ndio watoa faraja wakuu katika kipindi cha maombolezo kwa tungo nzuri zenye mantiki na maana kuu.
Baada ya msiba tumeshuhudia wasanii wakikurupuka kuimba lakini nyimbo ambazo ni mbaya zisizo na mantiki wala maana.
Hakuna msanii ambaye ameimba wimbo ambao unaweza kabisa hata kuitwa huu ni wimbo bora wa kipindi hiki kama ilivyo kuwa kwenye misiba mikubwa ya Ruge Mutahaba na Hayati Nyerere.
Bado najiuliza wasanii wetu waneishiwa vya kuimba? Ni wavivu wa kusoma historia za viongozi wetu? Walishindwa kitumia kitu cha Hayati Mkapa kutunga nyimbo bora?
Hivi kweli TOT wamewazidi wasanii wetu wote lukuki katika kutunga? Au TOT ndio wafatiliaji wazuri? Wasanii wetu ni wavivu wa kutafuta habari?
Bado najiuliza ni wimbo gani mzuri unao uzidi wimbo wa TOT kipindi hiki? Wasanii wetu ni wazi kazi wanayoifanya hawakuitendea haki? Ni haki kuitwa wafanyakazi hewa?
Wasalaam!