Donpela
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 2,040
- 591
well put mkuuYaani mpaka leo hamjui tatizo nini? Hana kipaji. Wasanii wengi wa bongofleva ni talentless wanabebwa na beat tu kama unabisha waambie wakuimbie acapela ndio utajua
well put mkuuYaani mpaka leo hamjui tatizo nini? Hana kipaji. Wasanii wengi wa bongofleva ni talentless wanabebwa na beat tu kama unabisha waambie wakuimbie acapela ndio utajua
Sasa unaacha kukaa na Diamond ujifunze unaenda kukaa na Idris Sultan na Wema Sepetu unategemea nini?? Mambo mengine huwa ni ya kujitakia tu
Hehehehe kweli kabisaMuwe mnaangalia na watu wa kuwashabikia jamani, watu wengine ni kujipa stress tu....si bora umshabikie joti ucheke? Pole lakini
hahahah we jamaa wew noumahOmmy Dimpoz hana kipaji cha muziki ye umwambie kuvaa vikaptura vya kubana na tuviatu twa kike. Halafu ana vimiwani vyake vile vya kurembua macho hasara kabisa yule