Nini Kazi ya Rais Kama hawezi kukemea kuonya au kuliepushia Taifa hasara?

lengume

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
318
134
Tanzania imekuwa ni Nchi ambayo mtu yeyote mwenye nafasi anaweza kufanya kitu chochote hata kama kina madhara kwa Taifa. BMK linapigiwa kelele kila kona ya Nchi kwa ajili ya mapesa wanayopoteza kwa kutengeneza Katiba isiyokuwa ya mardhiaono. Cha ajabu kabisa Serikali ya Ccm wanasema Rais kisheria hana uwezko wa kuliepushia Taifa hasara inayopatikana kupita Bmk.

Sakata la IPTL la wizi wa bl 200 Rais hakusema chochote kana kwamba hajasikia chochote. Hii Nchi inatafunwa kwa kila namna lakini husikii Kiongozi wa juu akikemea. Sasa mimi najiuliza hasa kuna sababu gani ya kuwa na Rais kama hawezi kukekemea kuonya au kuliepushia Taifa hasara?.

Hivi karibuni Mh Rais wa Kenya Uhuru Kenyata alisimamia meli iliyokamatwa na madawa ya kulevya ichomwe na kuzamiswa Baharini. Sasa ni kwa nini Rais wetu asichukue maamuzi magumu kama Marais wengine?.
Mimi naamini iko siku Historia itakuja kuwahukumu viongozi wote ambao wamelifanya Taifa hili kama uwanja wa mpira. Mimi nawashauri Watanzania wezangu Tufanye maamuzi magumu kulikomboa Taifa letu kwa njia ya Kura kabla viongozi wezi na wadhalimu hawajaliteketeza Taufa.

Mungu Ibarki Tanzania.
 
Tanzania imekuwa ni Nchi ambayo mtu yeyote mwenye nafasi anaweza kufanya kitu chochote hata kama kina madhara kwa Taifa. Bmk linapigiwa kelele kila kona ya Nchi kwa ajili ya mapesa wanayopoteza kwa kutengeneza Katiba isiyokuwa ya mardhiaono. Cha ajabu kabisa Serikali ya Ccm wanasema Rais kisheria hana uwezo wa kuliepushia Taifa hasara inayopatikana kupita Bmk. Sakata la Iptl la wizi wa bl 200 Rais hakusema chochote kana kwamba hajasikia chochote. Hii Nchi inatafunwa kwa kila namna lakini husikii Kiongozi wa juu akikemea. Sasa mimi najiuliza hasa kuna sababu gani ya kuwa na Rais kama hawezi kukekemea kuonya au kuliepushia Taifa hasara?. Hivi karibuni Mh Rais wa Kenya Uhuru Kenyata alisimamia meli iliyokamatwa na madawa ya kulevya ichomwe na kuzamiswa Baharini. Sasa ni kwa nini Rais wetu asichukue maamuzi magumu kama Marais wengine?. Mimi naamini iko siku Historia itakuja kuwahukumu viongozi wote ambao wamelifanya Taifa hili kama uwanja wa Mpira. Mimi nawashauri Watanzania wezangu Tufanye maamuzi magumu kulikomboa Taifa letu kwa njia ya Kura kabla viongozi wezi na wadhalimu hawajaliteketeza Taufa. Mungu Ibarki Tanzania.

Kama watu wote wangeelewa hakika nchi ingekuwa na maendeleo kama zilivyo nchi nyingine ulaya na asia lakini kwa akili walizonazo watu wa kile chama wakichagizwa na wapuliza filimbi wanaolipwa buku saba saba ni masiha tu atakayetuokoa
 
Hoja nzito kama hii hupata wachangiaji wachache, ebu tuone...


Naafikiana nawe 100%, hoja zinazoongoza kwa kuchangiwa humu si zile zenye tija, na kama zina tija basi baadhi ya wachangiaji wanahamisha maana ya mada na kuishia kutukanana.
 
Hoja nzito kama hii hupata wachangiaji wachache, ebu tuone...
jamani ndio iyo inatoka kimbieni. Je kuna yeyote ana air refreshner hanusur hali ya hewa humu jamvin kabla haijatok.hamna! Haya shauri zenu inakaribia kutoka jamani Nashindwa kuizuia........mbrrrrrrrrrrrrrrr!!!!! Astalaghafulah! !
 
Tatizo la Tanzania lipo kwq sisi wananchi.
Sisi ndio tuna matatizo na wala sio huyo kikwete.
Hata mimi ningekuwa natawala taifa la matahaira kama hili ningefanya kama kikwete. ..
 
Labda naye anapelekewa mgao wake ndo maana yupo kimya,haya mambo bhana huwezijua.
 
Kiukweli Rais angepata mwaliko wa kwenda kunywa chai na Obama angeenda fasta. Lkn sio kushughulikia matatizo ya Watanzania.
 
Wote ni walewale hapo hakuna wakumkemea mwenzie! nishidah kama mtanzania final ni 2015 tumia kura yako vizuri, kura yako ndiyo itakayo leta usawa ktk tanzania.
 
Naafikiana nawe 100%, hoja zinazoongoza kwa kuchangiwa humu si zile zenye tija, na kama zina tija basi baadhi ya wachangiaji wanahamisha maana ya mada na kuishia kutukanana.

Hapa pana ukweli watasema nini.
 
jamani ndio iyo inatoka kimbieni. Je kuna yeyote ana air refreshner hanusur hali ya hewa humu jamvin kabla haijatok.hamna! Haya shauri zenu inakaribia kutoka jamani Nashindwa kuizuia........mbrrrrrrrrrrrrrrr!!!!! Astalaghafulah! !

umejamba?
 
Ukicheka na nyani ..........

Hii inaitwa system moral decay.yaani watu wote kama sio wengi wameoza kimaadili kwahiyo akuna mwenye nguvu ya kutosha kumkosoa mtu ata kama akerwe vipi maana akiongea moja analipuliwa mia upo mkubwa hapo.so ni kimya kimya.

Ni sawa baba mlevi dog unajiko..lea mama unaleta mabwana home mtoto anatukana majirani wewe baba na mama mtamkemea vipi?
 
Tatizo kubwa linalotusibu sisi watanzania ni ukosefu wa uzalendo kuanzia ngazi ya uongozi hadi wananchi wenyewe. Wananchi tunanyanyaswa na kuumia sana kwa mfumo wa utawala ulipo But hakuna mwenye habari. People are not ready to punish their leaders who are not providing efficiency in their respective offices. Its business as usuall. Elimu ya uraia umefutwa mashuleni kwa kizazi cha sasa wahitimu wa ngazi mbali mbali hawaoni umuhimu wa kupigania na kutetea matumizi sahihi ya rasilimali zake taifa kwa nini rais asifanye atakavyo? Anajua na kuelewa wananchi wake sisi ni mbumbumbu hatutofanya chochote. Wenzetu wakenya kwa mfano atleast wako very active in terms of resource utilization & mobilization thats why imefika mahala wamempa rais yeyote aliye madarakani probation period ya miaka mutation. That means ndani ya hiyo miaka mitatu akivurunda wanapiga a vote of no confidence to the president and out s/he goes from office. Kwa nn na sisi tusifike huko? TAFAKARI, CHUKUA HATUA……
 
Back
Top Bottom