PALANGAVANU
Member
- Jan 3, 2011
- 27
- 4
Ndugu wana jf nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu kwenye joints za miguu na mikono nilivyopima nikaambiwa nina ugonjwa unaoitwa rhematoid arthritis na nikaambiwa kuwa ugonjwa huu hauna tiba na sasa maumivu yanazidi, kila nikipata dawa hazinisaidii nishachoma sindano ya panedu lakini haikusaidia.
Je ugonjwa huu unasababishwa na nini? nitumie dawa gani? na hivi sasa macho yameanza kunisumbua je ni ugonjwa huu huu? naombeni ushauri wenu!
Je ugonjwa huu unasababishwa na nini? nitumie dawa gani? na hivi sasa macho yameanza kunisumbua je ni ugonjwa huu huu? naombeni ushauri wenu!