figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
- Thread starter
- #161
Mbona whatsaap sikuoni, au shemeji kabana? miaThe same story to me
Mbona whatsaap sikuoni, au shemeji kabana? miaThe same story to me
Ushauri wako ntauzingatia. thanx. miaachana nao wote anza ukurasa mpyaaaaa na mwingne
Umeongea point sana. mianamshauri huyo dada mpenda asipopendwa: ampende ampendae asiempenda aachane nae... i.e aachane nawewe mtoa mada ili badae isije kumcost...
Poa poa. miatumia 4figure
Hahahahaaaa....!!! halafu wewe mchokozi!. nambie wangu, habari za kupotea. miaHaleluya!
Hivi kipi bora:
1. Kumuoa anayekupenda?
au
2. Kumuoa unayempenda?
.mia
Hahahahaaaa....!!! halafu wewe mchokozi!. nambie wangu, habari za kupotea. mia
Nayaomba hayo maji mkuu. nipe maji maji ninywe. Njoo PM fasta sana. Kweli hawa washanipasua kichwa. miaNjoo nkunyweshe maji ya baraka, unipende mimi hao wote achana nao hehehehe
Kwanza shukuru Mungu kuwa umeshalitambua hilo. Kwa ninavyo wafahamu wenzetu hawa kina dada wengi wapo tofauti sana na sisi kihisia. Mimi naamini huwa msichana akisema mwenyewe kuwa anakupenda na ilhali anakuona upo katika hali yako ya kawaida(Siyo ya kimali au pesa) basi juwa kabisa hiyo sio longolongo hapo anamapenzi ya kweli na wewe.
Mpende akupendae mkuu hapo utaenjoy sana maishani........wa aina hii huwa hawasaliti hawa hata iweje.
Huo ndio ushauri wangu kaka................................mia
Subiri ufike miaka 35 au 40 utajijibu mwenyewe kwani utakua ushachuja na utakuja humu kutafta mchumba na utafanya maamzi sahihi kila la kheri.Kuna tatizo linalonisumbua katika mahusiano, ni kwamba kuna msichana nimetokea kumpenda sana lakini yeye hanipendi na hataki hata kuniona lakini mimi moyo wangu unampenda sana naona hakuna msichana mwingine kama yeye. Wakati huo huo kuna dada mwingine ambaye yeye amenitamkia kuwa ananipenda sana.
Amefika mbali zaidi kwamba anataka tuoane. Kweli ni mzuri na ana mvuto wa kipekee lakini mimi simpendi kwasababu nampenda mtu mwingine anaye nifanya mahaba yanipige shoti ya gridi ya taifa, yaani simpendi hata kidogo ijapokuwa yeye anajitahidi kunionyesha mapenzi ya kila aina na madikodiko ya hapa na pale. Sijampa jibu kama nampenda au la!. Leo naona kampa zawadi mdogo wake wa kike aniletee, Nimeipokea nikamwambia asante.
Sasa nahofu nikiendelea kula vya watu naweza pata matatizo. Ndo maana nikaja hapa kuomba ushauri.
Mimi nia yangu niwe na yule ninayempenda lakini yeye hanitaki sijui nifanyeje naombeni ushauri.
Ushauri wako ulenge kumpata nimpendaye, Huyu anaye nipenda nimfanyeje ili asiendelee kuumia?
Naombeni maushauri kabla sijafanya maamuzi magumu. mia
Kumbe na wananume wananchuja wakiwa 35!. Heaven on Earth ananitosha, wengine wa nini? miaSubiri ufike miaka 35 au 40 utajijibu mwenyewe kwani utakua ushachuja na utakuja humu kutafta mchumba na utafanya maamzi sahihi kila la kheri.
Tangia nizaliwe sijawahi kukutana na wewe JF. Kumbe hata huku kuna viumbe wazuri. Ngoja nilisake jina ulobadilisha. Tulia hapo hapo nakufuata. miaNashukuruui...nataman kama yule kijana angeona ushauri huu na angeufanyia kazi hakika angetulia
Tangia nizaliwe sijawahi kukutana na wewe JF. Kumbe hata huku kuna viumbe wazuri. Ngoja nilisake jina ulobadilisha. Tulia hapo hapo nakufuata. mia
Kumbe na wananume wananchuja wakiwa 35!. Heaven on Earth ananitosha, wengine wa nini? mia
waambie hao............. Mengi si angeshajucha lakin huyoooooooo na kabint
Hahahahahahaaaaa.....!!!. miawaambie hao............. Mengi si angeshachuja lakini huyoooooooo na kabinti
[h=1]JamiiForums Premium Member Subscription. Mia[/h]mzee wa mia na HOE... ivi gold member inapatikanaje?
Karibu sana. miaHehehhe mzee wa mia hakika utakesha kutafuta hilo jina maana hata halipo..
Nipogo kila siku sema mvivu kucoment.mia