Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ni kwema wazawa?

Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale ubalozini wanipe Visa smoothly.

Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.

Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiw huko... It's all good! Nae atapata kitita tajwa.

Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.

Don't worry! I'll wait for your Noble response. Nakaribisha ushauri pia.
Mmmh
Wakukague vizuri aisee
 
Mkuu Kiranga ana haki ya kusimamia kile anachokiamini, however, sio kila mtu ana a picture perfect scenario. Hawana hizo bank statements, elimu au skills za kuwafanya wapewe visa kirahisi kwenda nje ila nao wanataka kwenda huko.

Hapo ndo unakuja uchakachuaji. Kila kitu kinawezekana kwa mlango wenyewe au mlango wa nyuma. Katika kupita mlango wa nyuma lazima mtu uchukue calculated risks na ujue exactly what could happen should things backfire.

Aidha, japo huwezi kupata a counterfeit visa unaweza kutumia counterfeit documents kupata hiyo visa. Docs kama Bank statements, uthibitisho wa ajira, mali zinapatikana hasa bongo yetu hii. Hata muhuri wa Ikulu unapata dare I say it.

Kama unataka kwenda kwa njia ya shule basi huna budi ku-apply kwenye hiyo shule ili upate admission letter. Ni kazi yako kuapply chuo unachoona kina masharti nafuu kwako.

Mwisho, usiende kwenye nchi ya watu kwa njia ya kuzamia hapa naongelea zile njia za kuingia bila passport wala visa. Hapo utakua unajichimbia shimo kubwa zaidi. So long as umeingia kupitia a port of entry basi utatoka tu.

LaRosa
Wewe umeongea Kama mwanaume!
 
Mkuu LaRosa we unahitaji mwaliko tu?? Ukipewa mwaliko labda wa Sweden unapo mahali pa kufikia au ndio inabidi mtu aliekualika ndio akupokee??

Lakini pia kipindi hiki cha Pandemic visa zimekuwa shida sana hata kwa nchi ambazo hawana lockdown kama Sweden, wanahitaji sababu za msingi sana ndio wakuruhusu kwenda, watu ambao wanaenda bila usumbufu ni wale wenye residence permit.
 
Mkuu LaRosa we unahitaji mwaliko tu?? Ukipewa mwaliko labda wa Sweden unapo mahali pa kufikia au ndio inabidi mtu aliekualika ndio akupokee??

Lakini pia kipindi hiki cha Pandemic visa zimekuwa shida sana hata kwa nchi ambazo hawana lockdown kama Sweden, wanahitaji sababu za msingi sana ndio wakuruhusu kwenda, watu ambao wanaenda bila usumbufu ni wale wenye residence permit.
Asante kwa response yako nzuri. Kuna jamaa ananifanyia mchakato na tumefikia pazuri tu.
Nakupenda Jimena
 
Ndiyo maana nikasema kwamba nimepata tabu sana kuujibu uzi huu, na nilikataa kuujibu nikawa napewa tags kuujibu.

Nilijua kwamba nikiujibu ni lawama (majibu yangu hayataeleweka kwa wengine) na nisipoujibu ni lawama (Kiranga tunamuita ajibu na kusaidia kwenye uzi anaringa).

Ila ukae ukijua kitu kimoja, mimi siko hapa ili wewe unione mtu mzuri sana.

Ukinitag kutaka maoni yangu, nakupa maoni yangu.

Na siogopi kuonekana mpumbavu, naogopa kuogopa kuonekana mpumbavu.

Nimetoa majibu kwa hoja, umerudi kunishambulia kwa kitu kinachoitwa "ad hominem" kwa kilatini.

An ad hominem attack, yani, kuacha kujibu hoja za mtu na kuanza kumshambulia mtu mwenyewe kibinafsi, ni attack fulani za watu mufilisi wa hoja ambao wameshindwa kujadili hoja wanatukana mtu.

Sasa mimi kusema sitaki kumsaidia mtu kusafiri nje kwa njia za mkato, kwa kuwa njia sahihi zinajulikana nimefanya kosa gani?

Au mimi kusema sipendi watu wanaotumia fedha kupindisha utaratibu nimekosea nini?

Au mimi kusema sitaki kusaidia rushwa na hadaa nimekosea nini?

Au mimi kusema siku hizi kuna watu wengi wanafanya uhalifu wa biashara za madawa ya kulevya na ugaidi, na hivyo kumsaidia mtu nisiyemjua ni jambo hatari nimekosea nini?

Jifunze siku nyingine usiwa tag watu kuwaomba msaada katika mambo ambayo hawayafagilii, wasije kukukatalia halafu ukawalaumu wao kwa kusimamia misimamo yao na kukueleza kuhusu misimamo hiyo, wakati umewaomba msaada wewe mwenyewe.

Wewe unataka nikufuate inbox wakati wewe hujanifuata inbox, sawa hiyooo?


Haaaaaata, hiyo si sawa LaRosa, wacha vitukoo.
Nimeshindwa kuelewa kwa nini kashindwa kuelewa maelezo uliyompa ambayo kwa mtu mwenye akili akiyatafakari ni majibu yenye mantik
Hakika watu kama hawa ukiwasaidia ndio wanaweza kukutumbukiza kwenye matatizo makubwa na ukabaki na majuto.
 
Kuna jamaa aliniambia una matatizo saan sikuamini Hadi Sasa. Naona Kama umeishia kujinadi tu na kujivika utukufu na utakatifu.

Lakini ungekua ni mtu mwema na gentleman ungenifuata inbox na kuniomba taarifa zangu na details zangu muhimu ili Kama nitakidhi na kuaminika Basi unisaidie kwa vyovyote unavyoweza nitimize ndoto zangu unfortunately umetoa accusations na imbecille allegations kuhusu Watanzania.

Kusafiri ni haki ya mtu, Ni heri ungetoa ushauri tu na kuondoka zako kuliko kutoa accusations.

Kiukweli, umedhirisha upumbavu saana Ni Bora ungekaa kimya tu sababu even silence is an answer.

We mkuu ndo unataka kuja huku ulaya au kwenda huko USA kwa lugha kama hizi. Kwanini watz hatupendi kuambiwa Ukweli. Huyu mkuu kaeleza Ukweli Wake tena hadharani, kosa lake nini, unakuja na hukumu baseless namna hiyo. Je ulitaka akudanganye.

Kama una hela why utake kuhonga dollar 1000. eti una mambo ya kufanya. Ulaya utafanya biashara na unasema Bank huna zaidi ya 6000. umemkosea sana huyu mkuu.
 
Mkuu Kiranga ana haki ya kusimamia kile anachokiamini, however, sio kila mtu ana a picture perfect scenario. Hawana hizo bank statements, elimu au skills za kuwafanya wapewe visa kirahisi kwenda nje ila nao wanataka kwenda huko.

Hapo ndo unakuja uchakachuaji. Kila kitu kinawezekana kwa mlango wenyewe au mlango wa nyuma. Katika kupita mlango wa nyuma lazima mtu uchukue calculated risks na ujue exactly what could happen should things backfire.

Aidha, japo huwezi kupata a counterfeit visa unaweza kutumia counterfeit documents kupata hiyo visa. Docs kama Bank statements, uthibitisho wa ajira, mali zinapatikana hasa bongo yetu hii. Hata muhuri wa Ikulu unapata dare I say it.

Kama unataka kwenda kwa njia ya shule basi huna budi ku-apply kwenye hiyo shule ili upate admission letter. Ni kazi yako kuapply chuo unachoona kina masharti nafuu kwako.

Mwisho, usiende kwenye nchi ya watu kwa njia ya kuzamia hapa naongelea zile njia za kuingia bila passport wala visa. Hapo utakua unajichimbia shimo kubwa zaidi. So long as umeingia kupitia a port of entry basi utatoka tu.

LaRosa
Kwa hali ilivyo sasa ni vema kutimiza masharti upate visa halali na halisi
Kwa miaka ya nyuma shortcuts ziliwezekana , maana technology haikutumika sana , siku hizi bank statements unaweza ukaombwa ukiwa safarini mana wanajua hazina mlolongo.
Kwa maana hii hata ukiuziwa bank statements na ukapata visa , huko mbele inaweza kuwa kitanzi kitakachokufanya uwe deported.
 
Kwa hali ilivyo sasa ni vema kutimiza masharti upate visa halali na halisi
Kwa miaka ya nyuma shortcuts ziliwezekana , maana technology haikutumika sana , siku hizi bank statements unaweza ukaombwa ukiwa safarini mana wanajua hazina mlolongo.
Kwa maana hii hata ukiuziwa bank statements na ukapata visa , huko mbele inaweza kuwa kitanzi kitakachokufanya uwe deported.

Mkuu moja ya kitu kirahisi kufoji ni BS. Hiyo hata ukipewa saa1 utoe utaipata kama unajua nini cha kufanya. Ikumbukwe si ubalozi au uhamiaji wa nchi yeyote ile duniani utaenda ku-verify uhalali wa BS yako na bank yako bila idhini yako au mahakama kuamuru hivyo. You just have to play your cards right.

Kila mtu akifuata hivyo vigezo wanavyotaka sijui 20K USD, kazi, assests etc. nje wataenda mafogo tu, mbongo gani wa kawaida anavyo hivyo vigezo? Watoto wa mbwa tunapita mlango wa nyuma, hii haitaisha leo wala kesho.
 
Ni kwema wazawa?

Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale ubalozini wanipe Visa smoothly.

Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.

Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiw huko... It's all good! Nae atapata kitita tajwa.

Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.

Don't worry! I'll wait for your Noble response. Nakaribisha ushauri pia.
Kwani una tatizo gani hadi utumie agenti, visa za Uarubuni na Asia ndio labda unaweza tumia agenti lakini hizi za Ulaya/Marekani unatakiwa mwenyewe uende front, ukapigwe maswali na kama wameridhika unaambiwa njoo keshokutwa uchukue viza kiulaini . Nina wasiwasi utakuwa na matatizo ya kutaka kuzamia au ulifanya uharifu fulani. Ukiwa mkweli kwenye maombi ya visa huwezi kukosa hata siku moja hata iwe kwa Biden,lakini ukiwa muongo na ukitaka kutumia ujanjaujanja utakwama tu.
 
Mkuu moja ya kitu kirahisi kufoji ni BS. Hiyo hata ukipewa saa1 utoe utaipata kama unajua nini cha kufanya. Ikumbukwe si ubalozi au uhamiaji wa nchi yeyote ile duniani utaenda ku-verify uhalali wa BS yako na bank yako bila idhini yako au mahakama kuamuru hivyo. You just have to play your cards right.

Kila mtu akifuata hivyo vigezo wanavyotaka sijui 20K USD, kazi, assests etc. nje wataenda mafogo tu, mbongo gani wa kawaida anavyo hivyo vigezo? Watoto wa mbwa tunapita mlango wa nyuma, hii haitaisha leo wala kesho.
Mimi sijawahi kuulizwa BS wala kukosa viza toka nianze kwenda majuu, maswali mengine yanakuja kutokana na muonekano wako na jinsi unavyojiamini kujibu maswali ya watoa viza. Kingine muhimu ni kuonyesha kuwa utarudi baada ya siku zako za viza kuisha.
 
Mkuu moja ya kitu kirahisi kufoji ni BS. Hiyo hata ukipewa saa1 utoe utaipata kama unajua nini cha kufanya. Ikumbukwe si ubalozi au uhamiaji wa nchi yeyote ile duniani utaenda ku-verify uhalali wa BS yako na bank yako bila idhini yako au mahakama kuamuru hivyo. You just have to play your cards right.

Kila mtu akifuata hivyo vigezo wanavyotaka sijui 20K USD, kazi, assests etc. nje wataenda mafogo tu, mbongo gani wa kawaida anavyo hivyo vigezo? Watoto wa mbwa tunapita mlango wa nyuma, hii haitaisha leo wala kesho.
Ubalozi wa Australia nairobi wanapiga simu hadi bank husika , iloshawahi nitokea
Halafu Bs unafoji vipi wakati unaweza kubanwa wakati wowote uoneshe salio? Siku hizi Watu wanatembea na ATM cards ambazo zina link moja kwa moja na account yako,
Forgery kwenye makaratasi ya kuombea viza inawezekana ila ukiwa safarini inaweza kukukost anytime. Na ukawa deported.
 
Ni kwema wazawa?

Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale ubalozini wanipe Visa smoothly.

Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.

Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiw huko... It's all good! Nae atapata kitita tajwa.

Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.

Don't worry! I'll wait for your Noble response. Nakaribisha ushauri pia.
Elfu moja inaweza kuwa haitoshi kwa mtu mwenye akili timamu kuuza credibility yake kwa ajili misheni zako.
 
Ubalozi wa Australia nairobi wanapiga simu hadi bank husika , iloshawahi nitokea
Halafu Bs unafoji vipi wakati unaweza kubanwa wakati wowote uoneshe salio? Siku hizi Watu wanatembea na ATM cards ambazo zina link moja kwa moja na account yako,
Forgery kwenye makaratasi ya kuombea viza inawezekana ila ukiwa safarini inaweza kukukost anytime. Na ukawa deported.

Mkuu with all due respect ulichowasilisha is the most ridiculous thing I've ever read. You mean to say hao uhamiaji wanataka pesa iwe kwenye account yako full time ili tu wao kujiridhisha? Pesa yako haina shughuli zingine? Sitaki kuamini kuna uhamiaji wa nchi fulani ni mazwazwa kiasi hicho.

Inakubalika kutumia sponsor, sasa vp kama umetumia BS ya sponsor maana wengi tu wanaenda kwa kuwa sponsored? Bado watasema onyesha salio anytime huko mbeleni? Unatoaje latest BS ya sponsor on the spot? This doesn't make any sense at all.

Secondly, ubalozi kupiga simu na bank kutoa taarifa za mteja is wrong at all levels. Banks are committed to privacy. Kawaida banks hutoa taarifa kwa serikali tena kwa idhini ya mahakama au kibongo bongo kwa serikali kutumia mabavu ila sio kwa ubalozi au third party kiholela. Kama KE banks zipo loose hivyo basi KE is worse than TZ maana hilo swala bongo halipo kabisa na si bongo tu bali hata nchi zingine, natilia mashaka sana. Mambo ya mabalozi kupiga simu sijui kuingia online na kuangalia bank acc yako ni story za kijiweni na wengi wanaziamini sana.

Nakubaliana na wewe kwamba forgery can be costly ndo maana nimesema lazima mtu ajue anachofanya, take calculated risks na awe willing kukubali matokeo should things backfire. Kutoboa duniani lazima uwe risk taker ukisubiri kila kitu kiende kimenyooka utasubiri sana. Wengine tumecheza sana on the blurry zone so I know what I'm talking about.
 
Ndiyo maana nikasema kwamba nimepata tabu sana kuujibu uzi huu, na nilikataa kuujibu nikawa napewa tags kuujibu.

Nilijua kwamba nikiujibu ni lawama (majibu yangu hayataeleweka kwa wengine) na nisipoujibu ni lawama (Kiranga tunamuita ajibu na kusaidia kwenye uzi anaringa).

Ila ukae ukijua kitu kimoja, mimi siko hapa ili wewe unione mtu mzuri sana.

Ukinitag kutaka maoni yangu, nakupa maoni yangu.

Na siogopi kuonekana mpumbavu, naogopa kuogopa kuonekana mpumbavu.

Nimetoa majibu kwa hoja, umerudi kunishambulia kwa kitu kinachoitwa "ad hominem" kwa kilatini.

An ad hominem attack, yani, kuacha kujibu hoja za mtu na kuanza kumshambulia mtu mwenyewe kibinafsi, ni attack fulani za watu mufilisi wa hoja ambao wameshindwa kujadili hoja wanatukana mtu.

Sasa mimi kusema sitaki kumsaidia mtu kusafiri nje kwa njia za mkato, kwa kuwa njia sahihi zinajulikana nimefanya kosa gani?

Au mimi kusema sipendi watu wanaotumia fedha kupindisha utaratibu nimekosea nini?

Au mimi kusema sitaki kusaidia rushwa na hadaa nimekosea nini?

Au mimi kusema siku hizi kuna watu wengi wanafanya uhalifu wa biashara za madawa ya kulevya na ugaidi, na hivyo kumsaidia mtu nisiyemjua ni jambo hatari nimekosea nini?

Jifunze siku nyingine usiwa tag watu kuwaomba msaada katika mambo ambayo hawayafagilii, wasije kukukatalia halafu ukawalaumu wao kwa kusimamia misimamo yao na kukueleza kuhusu misimamo hiyo, wakati umewaomba msaada wewe mwenyewe.

Wewe unataka nikufuate inbox wakati wewe hujanifuata inbox, sawa hiyooo?


Haaaaaata, hiyo si sawa LaRosa, wacha vitukoo.
kaka ifike hatua watanzania tuwe kama wanaijeria tusaidiane kutimiza malengo ndo msingi wa ubinaadamu na ili waafrika tuendelee
 
Daah yaani bado mnasumbuka kwenda ulaya njia rahisi tafuta visa ya Hungary au Nchi yeyote ambayo ina masharti mepesi ukifika huko entry visa ya kwenda sehemu ingine kirahisi ila hii ilikua kabla ya Corona wale wa USA walikua wanaenda Mexico hata hiki kipindi cha Trump kwa wale wanaotaka kujilipua huko Ila kwa mwendaji na kurudi ukiwa na familia bongo USA ukienda kama mchungaji ni njia rahisi ila awepo mtu wa kanisa kule...
Mexico tena wakati wameshajenga ukuta?!
 
Back
Top Bottom