Hellow JF's members.
Ni matumaini yangu kuwa nyote mu-wazima wa afya, pia nipende kuwatakia HAPPY NEW YEAR 2016.
Dhumuni la kuja kwenu, ni kuomba kwa yule mwenye access ya mawasiliano na Mr Ruge Mutahaba wa Clouds Media anisaidie ili niweze wasiliana nae, nina shida binafsi.
Natanguliza shukrani za dhati.
TANBIH: Itapendeza kama nitapatiwa mawasiliano yake through Private Message(PM)
Thank You and Have a God's Bless.
Ni matumaini yangu kuwa nyote mu-wazima wa afya, pia nipende kuwatakia HAPPY NEW YEAR 2016.
Dhumuni la kuja kwenu, ni kuomba kwa yule mwenye access ya mawasiliano na Mr Ruge Mutahaba wa Clouds Media anisaidie ili niweze wasiliana nae, nina shida binafsi.
Natanguliza shukrani za dhati.
TANBIH: Itapendeza kama nitapatiwa mawasiliano yake through Private Message(PM)
Thank You and Have a God's Bless.