Ninaomba kazi ya afisa mkopo, nimemaliza diploma in law na ninauzoefu wa miaka minne katika kazi ya afisa mikopo, nimeomba kazi mara nyingi sijapata. Tafadhali mwenye shida ya afisa mikopo nipo hapa. kwa mawasiliano 0766 969780
tuma maombi access bank kwenye hiyo post ya afisa mikopo, weka vyeti ful na ambatanisha na barua, then peleka pale makao makuu kijitonyama access bank floor ya 2 ,then wakiridhika na vyeti na experience yako watakuita for further interview
mkuu mimi nina degree na postgraduate diploma za sheria,cjapata kazi! Nipen mchongo jamani,
igwe, ni kweli ninauzoefu wa miaka minne NILIOUPATA katika kampuni ya MAHUSIANO MICROFINACE LTD
Nipo ktk hatua za mwisho kufungua finance naam nikiwa tayari nitakutafuta ndugu yangu for more interview...
Nenda seda, wapo hapa dsm ni maeneo ya ubungo