Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,205
- 664
Nimemaliza Stashahada ya Ualimu katika chuo cha Ualimu Morogoro (Kigurunyembe),
Natafuta kazi ya kufundisha masomo ya Kiswahili, History, Civics na Geography katika shule yoyote hapa Morogoro.
Anayetambua shida yangu anaweza wasiliana na mimi kupitia simu +255 712 667 669
Asanteni kwa ushirikiano wenu na Mungu awabariki sana
Natafuta kazi ya kufundisha masomo ya Kiswahili, History, Civics na Geography katika shule yoyote hapa Morogoro.
Anayetambua shida yangu anaweza wasiliana na mimi kupitia simu +255 712 667 669
Asanteni kwa ushirikiano wenu na Mungu awabariki sana