Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Siyo tu hadi ajute ni hadi akufe kabisa... Atakuja hapa kusema haoni sababu za kuishi...acha utoto wakaka saba tu hadi unaleta uzi wenzio tunaoa mtu ana watoto au wajukuu tena wengine wanaoa hadi mabarmaid bado una safari ndefu ya ukuaji Shetani ulikuwa unamkemea ilhali hauna Yesu ngoja na yeye akukemee utateswa na mapenzi hadi ujute