MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,224
- 22,303
Ili kuunga mkono ilani ya uchaguzi ya CCM leo nami nimeona nichangie angalau connection ya machimbo kadhaa ya vitu mbalimbali huko China. Haya ni machimbo ambayo nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa miaka kadhaa sasa. Ninatumaini itasaidia kwa wapambanaji ambao wanahangaika kupata connection hadi wengine kutapeliwa na watanzania wenzao wanaowaagizia.
Wanaohitaji wanicheki PM. Nina contacts za machimbo yafuatayo;
1. Chimbo la aina zote za viatu vya kiume, vya kike na watoto.
2. Handbags, saa na mabegi ya shule
3. Chimbo la mashine za printing, na accessories zake.
4. Lab equipments
5. Original Electronics devices kama TV, Fridge nk.
6. Simu
Mimi ninatoa hizi connections bure. Siko hapa kufanya biashara ya kuwaagizia watu au kuhitaji malipo yoyote. Kama hizi connections zitakusaidia basi utatoa hata sadaka kwa watoto yatima. Kimsingi mimi ni kada wa CCM ambaye sina njaa.
UPDATES: Zoezi linaenda vizuri. Vijana wamejitokeza na ninawatakia kila la heri. Nitafunga PM siku ya ijumaa tarehe 15/09/2023, saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
LEO 15/09/2023 ZOEZI LIMEFUNGWA RASMI. NAWAPONGEZA WOTE MLIOKUJA PM NA NINAWATAKIA MAFANIKIO KWENYE KAZI ZENU.
Wanaohitaji wanicheki PM. Nina contacts za machimbo yafuatayo;
1. Chimbo la aina zote za viatu vya kiume, vya kike na watoto.
2. Handbags, saa na mabegi ya shule
3. Chimbo la mashine za printing, na accessories zake.
4. Lab equipments
5. Original Electronics devices kama TV, Fridge nk.
6. Simu
Mimi ninatoa hizi connections bure. Siko hapa kufanya biashara ya kuwaagizia watu au kuhitaji malipo yoyote. Kama hizi connections zitakusaidia basi utatoa hata sadaka kwa watoto yatima. Kimsingi mimi ni kada wa CCM ambaye sina njaa.
UPDATES: Zoezi linaenda vizuri. Vijana wamejitokeza na ninawatakia kila la heri. Nitafunga PM siku ya ijumaa tarehe 15/09/2023, saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
LEO 15/09/2023 ZOEZI LIMEFUNGWA RASMI. NAWAPONGEZA WOTE MLIOKUJA PM NA NINAWATAKIA MAFANIKIO KWENYE KAZI ZENU.