Hamisi eeh, naenda kavu na mkono, wa kuliaZungu familia moja nyie.
UmDanganye Nani wewe ....kila siku unaruka majoka😂😂Hamisi eeh, naenda kavu na mkono, wa kulia
Doh yaan antibiotic zote hizo umekunywa, jiangalie sana utapata madharaWakuu habari ya leo, kwa miezi kadhaa nimehangaika na ugonjwa ambao hapo chini nimeweka dalili ninazozipata, vipimo na dawa nilizotumia lakini bado sijapata suluhisho. Kama kuna mwenye uzoefu naomba msaada.
Dalili.
1.Maumivu kwenye mrija wa mkojo karibu na kwenye kichwa cha uume(hii ni kawaida bila kukojoa). wakati wa kukojoa mkojo unagawanyika na kutoka kama njia mbili na sisikii maumivu Ila mkojo wa mwisho ukiisha ndo unasikia maumivu yanaendelea na unakuwa Kama umechochea
2 .Maumivu ya korodani, na mishipa yake pamoja na ile inayoenda chini karibia na sehemu ya haja kubwa
3. Maumivu ya nyonga
4.maumivu ya kiuno(mara chache sana)
5. kutoka ute ute mweupe kwenye uume wakati wa haja kubwa
6. Unaamka asubuhi unakuta boxer imelowa kana kwamba uliota unafanya sex then uka ejaculate vitu Kama sperm lakini sio vipo kama kamasi fulani hivi na vinateleza. lakini katika hali ya kawaida sioni hvyo vitu vikitoka.
VIPIMO vyote nilivyopima vinaonyesha hamna chochote na dawa zote huwa zinanipa nafuu na wife pia ametumia. huwa nikipata nafuu nakaa Kama wiki hv Ila nikikutana na mwenzangu hali inarudi tena sasa sijajua tatizo n nn au dawa ninazopewa sio. kuna docta aliwahi niambia nimepata klamidia japo hakunipima na akanipa dawa lakini bado haikusaidia.
VIPIMO
1.Urinalysis
2.Ultrasound(kibofu,tezi dume,kongosho,figo,ini)
3.Urine Culture
4.Ultrasound (korodani)
5.VDRL
6.Full blood picture
7. Urinalysis + VDRL(twice)
8. Urinalysis+ Ultrasound (tezi dume&figo)
DAWA
1. Cipro+PCM siku 5
2. Amoxclav siku 5
3. Azithromycin siku 6
4. Gentamycin 160mg siku 5
5. Doxycycline+metrodinazole siku10,
cefixine kidonge kimoja tu
6. Ceftriaxone siku 5
7. Azithromycin siku 3
8. Ceftriaxone+getamycin (80mg) mara mbili kwa siku, kwa siku 4(sindano 16)
9. Tribulent PCM, siku 5
10. Ceftriaxone 2g+getamycin (once)+Cipro (7 days)+ ibuprofen
Hapo utateseka tumia dawa za kienyeji shehe, kacheki shida ni nini? Utamaliza hela vingine ni hatari shehe kama unatabia za kutoka na wake za watu hapo huwezi ona ugonjwa kwenye vipimo vya kawaidaWakuu habari ya leo, kwa miezi kadhaa nimehangaika na ugonjwa ambao hapo chini nimeweka dalili ninazozipata, vipimo na dawa nilizotumia lakini bado sijapata suluhisho. Kama kuna mwenye uzoefu naomba msaada.
Dalili.
1.Maumivu kwenye mrija wa mkojo karibu na kwenye kichwa cha uume(hii ni kawaida bila kukojoa). wakati wa kukojoa mkojo unagawanyika na kutoka kama njia mbili na sisikii maumivu Ila mkojo wa mwisho ukiisha ndo unasikia maumivu yanaendelea na unakuwa Kama umechochea
2 .Maumivu ya korodani, na mishipa yake pamoja na ile inayoenda chini karibia na sehemu ya haja kubwa
3. Maumivu ya nyonga
4.maumivu ya kiuno(mara chache sana)
5. kutoka ute ute mweupe kwenye uume wakati wa haja kubwa
6. Unaamka asubuhi unakuta boxer imelowa kana kwamba uliota unafanya sex then uka ejaculate vitu Kama sperm lakini sio vipo kama kamasi fulani hivi na vinateleza. lakini katika hali ya kawaida sioni hvyo vitu vikitoka.
VIPIMO vyote nilivyopima vinaonyesha hamna chochote na dawa zote huwa zinanipa nafuu na wife pia ametumia. huwa nikipata nafuu nakaa Kama wiki hv Ila nikikutana na mwenzangu hali inarudi tena sasa sijajua tatizo n nn au dawa ninazopewa sio. kuna docta aliwahi niambia nimepata klamidia japo hakunipima na akanipa dawa lakini bado haikusaidia.
VIPIMO
1.Urinalysis
2.Ultrasound(kibofu,tezi dume,kongosho,figo,ini)
3.Urine Culture
4.Ultrasound (korodani)
5.VDRL
6.Full blood picture
7. Urinalysis + VDRL(twice)
8. Urinalysis+ Ultrasound (tezi dume&figo)
DAWA
1. Cipro+PCM siku 5
2. Amoxclav siku 5
3. Azithromycin siku 6
4. Gentamycin 160mg siku 5
5. Doxycycline+metrodinazole siku10,
cefixine kidonge kimoja tu
6. Ceftriaxone siku 5
7. Azithromycin siku 3
8. Ceftriaxone+getamycin (80mg) mara mbili kwa siku, kwa siku 4(sindano 16)
9. Tribulent PCM, siku 5
10. Ceftriaxone 2g+getamycin (once)+Cipro (7 days)+ ibuprofen
Kweli kaka, huenda kuna kamchezo mahaliunapotumia dawa hakikisha hukutani na mkeo au tumia mpira
kwa sabab mnakaa wiki bila sex mkiona mmepata nafuu mnacheza mechi mnabadilishana Tena wadudu
nikwambie tu maambukizi mapya ya ugonjwa wowote ni mabaya yanakuja na mashamburizi makubwa kuliko awali
zingatia usafi wa pants wewe na mkeo change boxes as much as you can
one question Nani ameleta hivyo vidudu ndani wewe au yeye?
maana magonjwa ya zinaa mengi yapo active Zaid kwa wanaume ukicheza rafu Leo ni kesho au kesho kutwa matokeo yanabandikwa ubao wa matangazo mzee anaanza kutema mate
mwanamke anakaa mpaka mwezi anasikia tu maumivi chini ya kitovu kama dariri za awali
chunguza nyendo zako na za mkeo kwa sabab apo mtakua mnatwanga maji kwenye kinu mnapata nafuu harafu mmoja anareta Tena wadudu ndani
Lakini ni wife wake mkuu na sio mtu baki tu kwani kuna ubayamidawa yote hii kwa starehe za sekunde kadhaa
mkome kwenda kavu
Si umeona gharama yake sasa jamaa anavyotaabika?.Nani kakudanganya.
Yaani pale wazungu wanapotaka kutoka kuna raha yake.
Hii ni raha ya binadamu wote masikini na matajiri, walio wazima wa viungo na walemavu, nk.
Cc. FaizaFoxy
Kuna mahonjwa mengije sio ya kumtamkia mwenzioDalili ya Cancer inayotokana na zinaa. Umezidi kuwa mzinzi ndio maana umepata Kansa ya Kizazi.😀😃😄😁