Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

unapotumia dawa hakikisha hukutani na mkeo au tumia mpira

kwa sabab mnakaa wiki bila sex mkiona mmepata nafuu mnacheza mechi mnabadilishana Tena wadudu

nikwambie tu maambukizi mapya ya ugonjwa wowote ni mabaya yanakuja na mashamburizi makubwa kuliko awali

zingatia usafi wa pants wewe na mkeo change boxers as many as you can

one question Nani ameleta hivyo vidudu ndani wewe au yeye?

maana magonjwa ya zinaa mengi yapo active Zaid kwa wanaume ukicheza rafu Leo ni kesho au kesho kutwa matokeo yanabandikwa ubao wa matangazo mzee anaanza kutema mate

mwanamke anakaa mpaka mwezi anasikia tu maumivi chini ya kitovu kama dariri za awali

chunguza nyendo zako na za mkeo kwa sabab apo mtakua mnatwanga maji kwenye kinu mnapata nafuu harafu mmoja anareta Tena wadudu ndani
 
Wakuu habari ya leo, kwa miezi kadhaa nimehangaika na ugonjwa ambao hapo chini nimeweka dalili ninazozipata, vipimo na dawa nilizotumia lakini bado sijapata suluhisho. Kama kuna mwenye uzoefu naomba msaada.

Dalili.
1.Maumivu kwenye mrija wa mkojo karibu na kwenye kichwa cha uume(hii ni kawaida bila kukojoa). wakati wa kukojoa mkojo unagawanyika na kutoka kama njia mbili na sisikii maumivu Ila mkojo wa mwisho ukiisha ndo unasikia maumivu yanaendelea na unakuwa Kama umechochea
2 .Maumivu ya korodani, na mishipa yake pamoja na ile inayoenda chini karibia na sehemu ya haja kubwa
3. Maumivu ya nyonga
4.maumivu ya kiuno(mara chache sana)
5. kutoka ute ute mweupe kwenye uume wakati wa haja kubwa
6. Unaamka asubuhi unakuta boxer imelowa kana kwamba uliota unafanya sex then uka ejaculate vitu Kama sperm lakini sio vipo kama kamasi fulani hivi na vinateleza. lakini katika hali ya kawaida sioni hvyo vitu vikitoka.

VIPIMO vyote nilivyopima vinaonyesha hamna chochote na dawa zote huwa zinanipa nafuu na wife pia ametumia. huwa nikipata nafuu nakaa Kama wiki hv Ila nikikutana na mwenzangu hali inarudi tena sasa sijajua tatizo n nn au dawa ninazopewa sio. kuna docta aliwahi niambia nimepata klamidia japo hakunipima na akanipa dawa lakini bado haikusaidia.

VIPIMO
1.Urinalysis
2.Ultrasound(kibofu,tezi dume,kongosho,figo,ini)
3.Urine Culture
4.Ultrasound (korodani)
5.VDRL
6.Full blood picture
7. Urinalysis + VDRL(twice)
8. Urinalysis+ Ultrasound (tezi dume&figo)


DAWA
1. Cipro+PCM siku 5
2. Amoxclav siku 5
3. Azithromycin siku 6
4. Gentamycin 160mg siku 5
5. Doxycycline+metrodinazole siku10,
cefixine kidonge kimoja tu
6. Ceftriaxone siku 5
7. Azithromycin siku 3
8. Ceftriaxone+getamycin (80mg) mara mbili kwa siku, kwa siku 4(sindano 16)
9. Tribulent PCM, siku 5
10. Ceftriaxone 2g+getamycin (once)+Cipro (7 days)+ ibuprofen
Doh yaan antibiotic zote hizo umekunywa, jiangalie sana utapata madhara
 
Wakuu habari ya leo, kwa miezi kadhaa nimehangaika na ugonjwa ambao hapo chini nimeweka dalili ninazozipata, vipimo na dawa nilizotumia lakini bado sijapata suluhisho. Kama kuna mwenye uzoefu naomba msaada.

Dalili.
1.Maumivu kwenye mrija wa mkojo karibu na kwenye kichwa cha uume(hii ni kawaida bila kukojoa). wakati wa kukojoa mkojo unagawanyika na kutoka kama njia mbili na sisikii maumivu Ila mkojo wa mwisho ukiisha ndo unasikia maumivu yanaendelea na unakuwa Kama umechochea
2 .Maumivu ya korodani, na mishipa yake pamoja na ile inayoenda chini karibia na sehemu ya haja kubwa
3. Maumivu ya nyonga
4.maumivu ya kiuno(mara chache sana)
5. kutoka ute ute mweupe kwenye uume wakati wa haja kubwa
6. Unaamka asubuhi unakuta boxer imelowa kana kwamba uliota unafanya sex then uka ejaculate vitu Kama sperm lakini sio vipo kama kamasi fulani hivi na vinateleza. lakini katika hali ya kawaida sioni hvyo vitu vikitoka.

VIPIMO vyote nilivyopima vinaonyesha hamna chochote na dawa zote huwa zinanipa nafuu na wife pia ametumia. huwa nikipata nafuu nakaa Kama wiki hv Ila nikikutana na mwenzangu hali inarudi tena sasa sijajua tatizo n nn au dawa ninazopewa sio. kuna docta aliwahi niambia nimepata klamidia japo hakunipima na akanipa dawa lakini bado haikusaidia.

VIPIMO
1.Urinalysis
2.Ultrasound(kibofu,tezi dume,kongosho,figo,ini)
3.Urine Culture
4.Ultrasound (korodani)
5.VDRL
6.Full blood picture
7. Urinalysis + VDRL(twice)
8. Urinalysis+ Ultrasound (tezi dume&figo)


DAWA
1. Cipro+PCM siku 5
2. Amoxclav siku 5
3. Azithromycin siku 6
4. Gentamycin 160mg siku 5
5. Doxycycline+metrodinazole siku10,
cefixine kidonge kimoja tu
6. Ceftriaxone siku 5
7. Azithromycin siku 3
8. Ceftriaxone+getamycin (80mg) mara mbili kwa siku, kwa siku 4(sindano 16)
9. Tribulent PCM, siku 5
10. Ceftriaxone 2g+getamycin (once)+Cipro (7 days)+ ibuprofen
Hapo utateseka tumia dawa za kienyeji shehe, kacheki shida ni nini? Utamaliza hela vingine ni hatari shehe kama unatabia za kutoka na wake za watu hapo huwezi ona ugonjwa kwenye vipimo vya kawaida
 
unapotumia dawa hakikisha hukutani na mkeo au tumia mpira

kwa sabab mnakaa wiki bila sex mkiona mmepata nafuu mnacheza mechi mnabadilishana Tena wadudu

nikwambie tu maambukizi mapya ya ugonjwa wowote ni mabaya yanakuja na mashamburizi makubwa kuliko awali

zingatia usafi wa pants wewe na mkeo change boxes as much as you can

one question Nani ameleta hivyo vidudu ndani wewe au yeye?

maana magonjwa ya zinaa mengi yapo active Zaid kwa wanaume ukicheza rafu Leo ni kesho au kesho kutwa matokeo yanabandikwa ubao wa matangazo mzee anaanza kutema mate

mwanamke anakaa mpaka mwezi anasikia tu maumivi chini ya kitovu kama dariri za awali

chunguza nyendo zako na za mkeo kwa sabab apo mtakua mnatwanga maji kwenye kinu mnapata nafuu harafu mmoja anareta Tena wadudu ndani
Kweli kaka, huenda kuna kamchezo mahali
 
Back
Top Bottom