BABA ALEXANDER
New Member
- Apr 1, 2019
- 2
- 0
LIPA MKUU
LIPA MKUU
Dah mm mpaka leoMimi tarehe 14 mwezi huu nilikua na mgonjwa amelazwa nikajilipua kulipa 24 ilikua hiyo hiyo walai Ile siku ninge palalaise kwa maumivu ya moyo kama wasingenikopesha tena.. Ila nililipa 24 nikapewa 30 Safi!
Ila kutokana na sms za wadau humu awamu hii nitalipa endapo Nina excess
My brother acha jazba halafu tumia ubongo kwa kufikiri. Hiyo riba ya 62,000 kwa mkopo huo kwa mwaka ni asilimia ngapi? Interest Hua inakua calculated kwa mwaka bro. Wewe hapo unaona ni asilimia ndogo kwa sababu huoni mbali. You think in terms of three months. Wise up and think in terms of 12 months and thank me later.kama hujui kitu bora kukaa kimya kuliko kudanganya watu.hivi ukikopeshwa sh. 290,000 kwa miezi mitatu na riba ukalipa sh 62,065 hiyoni asilimia 120 kweli? Ni mkopo ambao huwezi kuupata hata huko mtaani. Cha msingi ni uaminifu watu wanakukopesha kukusaidia kutatua shida zako, hawahitaji kukuona bali wanatumia taarifa zako tu na uaminifu wako katika kurejesha mkopo wao ndani ya dakika chache wameshakuingizia pesa kwenye mpesa/tigopesa au aina yoyote ya mobile money unayotumia.
Watanzania tujifunze kuwa waaminifu!
Sijawahi chelewesha hata siku 1Kama una mda mrefu bila kulipa utachukua mda sana tena kupewa mkopo au watarudisha nyuma mkopo wako yaani kama ulikuwa unaweza kukopa 10,000/- wanakupa 5,000/-
Mkuu hawa jamaa Toka mwezi wa 12 wananipa 45 nimelipa Mara 3, elf 55 napewa tena 45.. Kwa iyo bado 55Wanakudai bei gani?
Ukikopa deni kumbuka kulipa,kutofanya hivyo ni zuruma.Wakuu Sina lengo La kuwadhulumu ila naomba mwenyewe taarifa na hawa jamaa anijulishe nisije kula mkenge Sina pesa ya Akiba nikilipa kama hawatonikopesha tena nitayumba zaidi
Bora hii pesa nielekeze kwenye miradi ili niendelee Kudunduliza nitawalipa hapo mbeleni.
Mkuu wapi nimeandika sitaki kulipa?Ukikopa deni kumbuka kulipa,kutofanya hivyo ni zuruma.
Umesaidiwa wakati wa shida kwanini usilipe pesa ya watu?
Wewe acha longo longo kama vipi mtumie huyo manzi hela alipe deni lake sio unatujazia uzi hapa!Lets discuss
Hakikisha anamaliza deni akishimdwa ndani ya siku mbili hizi ni P.M nimalize hilo deni mimi.......nimetumia ustaarabu tu kwa kijana!How?
Amekamilisha mkuu, lkn sio mbaya ukiongezea hapo ujue madeni hayaishagi 😀😀Hakikisha anamaliza deni akishimdwa ndani ya siku mbili hizi ni P.M nimalize hilo deni mimi.......nimetumia ustaarabu tu kwa kijana!
Nakuja P.MAmekamilisha mkuu, lkn sio mbaya ukiongezea hapo ujue madeni hayaishagi
😀 KaribuNakuja P.M
Kumbuka huo ni mkopo Wa dharula na Wa muda mfupi ambapo ukienda benk hupati, nenda any microfince utakutana na masharti na riba zifananazo na hizo, nenda kwa private lender ndo utakimbia riba zaoMy brother acha jazba halafu tumia ubongo kwa kufikiri. Hiyo riba ya 62,000 kwa mkopo huo kwa mwaka ni asilimia ngapi? Interest Hua inakua calculated kwa mwaka bro. Wewe hapo unaona ni asilimia ndogo kwa sababu huoni mbali. You think in terms of three months. Wise up and think in terms of 12 months and thank me later.