Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
Habarini wanajamvi!
Hivi kama mtu unataka kujaribu zali kwa kuapply tender za kusupply bidhaa kutoka Tanzania kwenda Abroad in European big supermarkets....
Ni document gani inabidi uambatanishe, is it proposal, business plan, or company profile au ni kuwaandikia tu barua pepe?!!!.....
Kwa wajuzi mnaofahamu tafadhali mnifahamishe.....
Hivi kama mtu unataka kujaribu zali kwa kuapply tender za kusupply bidhaa kutoka Tanzania kwenda Abroad in European big supermarkets....
Ni document gani inabidi uambatanishe, is it proposal, business plan, or company profile au ni kuwaandikia tu barua pepe?!!!.....
Kwa wajuzi mnaofahamu tafadhali mnifahamishe.....