Nina stress, nifanyeje?

Huu ushau
Huwez seema huna lolote afu una stress unaleta biashara za vigisu vigisu kaa KUNYWA MAJI MWANANGU

Tafuta chanzo then solution utapata

Jitahid sana kufanya kile kinachokuletea furaha like kuwatch movie...outing...beach...kusikiliza nyimbo zozote kuendana na unazopenda...jitahid kuwaza positive muda mwingi...TAFAKARI UKUU MUNGU ALOKUTENDEA .

Kunywa maji mengi pata mapunziko ya kutosha

Kaa mbali na chanzo cha stress .
Huu ushauri hospitali unauzwa. Umemsaidia sana
 
Huwez seema huna lolote afu una stress unaleta biashara za vigisu vigisu kaa KUNYWA MAJI MWANANGU

Tafuta chanzo then solution utapata

Jitahid sana kufanya kile kinachokuletea furaha like kuwatch movie...outing...beach...kusikiliza nyimbo zozote kuendana na unazopenda...jitahid kuwaza positive muda mwingi...TAFAKARI UKUU MUNGU ALOKUTENDEA .

Kunywa maji mengi pata mapunziko ya kutosha

Kaa mbali na chanzo cha stress .
Hiyo kunywa maji mwanangu uwiiii
 
Hiyo kunywa maji mwanangu uwiiii
Ha ha ha usihofu ukishajua mwili wako maji ndo mengi kuliko damu utakunywa tuuu ....
Jitahid kutafuta faida za maji
Ila kabla ya kulala one glass
Asubuhi ukiamka kabla ya mswaki wala lolote one glass weka sawa internal organ

Before kuoga one glass to lower body pressure

Ukiumwa kichwa cha stress na uchovu kunywa maji lala kifudifud sehemu safi na tulivu isiyo na kelele hta ya mlio wa simu ukiamka upo fit

Maji husaidia kuweka sawa kibofu cha mkojo kwa kuondoa chumvi chumvi.

Zipo faida kibao za maji wewe tafuta .hta ngozi kaaa ya ray ha ha ha
 
Huwez seema huna lolote afu una stress unaleta biashara za vigisu vigisu kaa KUNYWA MAJI MWANANGU

Tafuta chanzo then solution utapata

Jitahid sana kufanya kile kinachokuletea furaha like kuwatch movie...outing...beach...kusikiliza nyimbo zozote kuendana na unazopenda...jitahid kuwaza positive muda mwingi...TAFAKARI UKUU MUNGU ALOKUTENDEA .

Kunywa maji mengi pata mapunziko ya kutosha

Kaa mbali na chanzo cha stress .
Asantee saana
 
Back
Top Bottom