Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
Ana balaa sana.duh juma hafanyi pouwa
Ana balaa sana.duh juma hafanyi pouwa
Si tupo hapa. Muda hakimu wa haki.Mhhhhh kutoka wap
Aweke wazi asaidike.sema kinaachokusumbua in detail
Huu ushauri hospitali unauzwa. Umemsaidia sanaHuwez seema huna lolote afu una stress unaleta biashara za vigisu vigisu kaa KUNYWA MAJI MWANANGU
Tafuta chanzo then solution utapata
Jitahid sana kufanya kile kinachokuletea furaha like kuwatch movie...outing...beach...kusikiliza nyimbo zozote kuendana na unazopenda...jitahid kuwaza positive muda mwingi...TAFAKARI UKUU MUNGU ALOKUTENDEA .
Kunywa maji mengi pata mapunziko ya kutosha
Kaa mbali na chanzo cha stress .
Hiyo kunywa maji mwanangu uwiiiiHuwez seema huna lolote afu una stress unaleta biashara za vigisu vigisu kaa KUNYWA MAJI MWANANGU
Tafuta chanzo then solution utapata
Jitahid sana kufanya kile kinachokuletea furaha like kuwatch movie...outing...beach...kusikiliza nyimbo zozote kuendana na unazopenda...jitahid kuwaza positive muda mwingi...TAFAKARI UKUU MUNGU ALOKUTENDEA .
Kunywa maji mengi pata mapunziko ya kutosha
Kaa mbali na chanzo cha stress .
How do you know kwamba una stress? unajisikiaj?Hello wanajamvi
Naomba mnisaidie ni jinsi gan naweza kuhandle stress yaan kuna muda inafika nakuwa siwezi fanya chochote
kabisaAweke wazi asaidike.
tafuta pesa stress zote zitakwisha siyo mnalala majumbani kama wagonjwa
Ha ha ha usihofu ukishajua mwili wako maji ndo mengi kuliko damu utakunywa tuuu ....Hiyo kunywa maji mwanangu uwiiii
Hataki dawa ...mwambie mficha uchiii........kabisa
hazaiHataki dawa ...mwambie mficha uchiii........
Inabid tuanze sehemu ya ushaur tupige pesaHuu ushau
Huu ushauri hospitali unauzwa. Umemsaidia sana
hapana kabisa kuna chanzo ama umekosa dyudyu?Najikuta tuu nipo hiv
Asantee saanaHuwez seema huna lolote afu una stress unaleta biashara za vigisu vigisu kaa KUNYWA MAJI MWANANGU
Tafuta chanzo then solution utapata
Jitahid sana kufanya kile kinachokuletea furaha like kuwatch movie...outing...beach...kusikiliza nyimbo zozote kuendana na unazopenda...jitahid kuwaza positive muda mwingi...TAFAKARI UKUU MUNGU ALOKUTENDEA .
Kunywa maji mengi pata mapunziko ya kutosha
Kaa mbali na chanzo cha stress .
Meonaeee huyu amwage tuu sirihazai