Hata kugoogle umedhindwa au ni uvivu wa kufikiri mkuu?!hivi sociology ndio nn
Kuna stori moja hivi.
Jamaa aliitwa kwenye interview mahojiano yakawa hivi:
Bosi: Tukikuajiri unataka tukulipe shilingi ngapi?
Kijana: Milioni 1.
Bosi: Unaonaje tukakulipa milioni 2 na nusu?
Kijana: Bosi acha masikhara!!!?
Bosi: Masikhara umeyaanza wewe mi namalizia tu hapa.
Kuna stori moja hivi.
Jamaa aliitwa kwenye interview mahojiano yakawa hivi:
Bosi: Tukikuajiri unataka tukulipe shilingi ngapi?
Kijana: Milioni 1.
Bosi: Unaonaje tukakulipa milioni 2 na nusu?
Kijana: Bosi acha masikhara!!!?
Bosi: Masikhara umeyaanza wewe mi namalizia tu hapa.
Hii kweli kabisaMkuu kupata kazi kunatokana na bahati ya familia anayotoka mhusika, Kuna familia ambazo zinasoma kwa kuwa SASAHIVI wigo wa elimu umepanuka, Ila ukirudi kwenye chimbuko la familia hakuna hata aliyewahi ajiriwa, kwa kiasi Kikubwa watu huwa wanasahau hiki kipengele
Siyo ukubwa wa Elimu, kumbuka Vyeti bado vinahitaji uvitete ili upate Ajira maana Vyeti Ni makaratasi. Kwa hivyo Kuna watu wakishasoma hawajui kutafuta kazi, kutafuta kazi Ni kazi kubwa kuliko kusoma Masters inahitajj uwe master mind.
Mimi kipindi nasoma watu waliokuwa wanasoma sociology walikuwa wanaonekana kama vilaza fulani. Ila hii sasa naanza kuamini.
Huyo kaka ana gubu sana, mkewe atakua na shida sana.
JiajiriWe bado ujapigika na life la kitaa kumbe yan had unjipangia mshara!? Una uzoefu,bado ni fresh graduate alaf unapanga mshara kweli!?
Ushauri wangu: unapo tafta kaz na hauna uzoefu ebu usitangaze kwanza mshahara unaoitaji hadharani, na kwa sasa ajira zimekuwa ngumu hasa kwa fresh graduate kwaiyo nivizuri kama ungetafta NGO hasa vile za mashirika ya wakimbizi uombe kufanya internship Hii itakusaidia kupata uzoefu.
Pili usiangaike kutafta kazi kwa kuangalia mshahara, fanya kazi yeyote inayohusiana na field yako ili kupata uzoefu zaidi.
Hahahah...Jamaa ni Meneja ila nasha gaa anatafta kazi tena.Mmmmh ww si ulisema ulikuwa unafanya kazi NACTE kitengo cha udahiri badae ukapata TCU kitengo cha udahili wa wanafunzi ?
Au ndo unachangamsha kijiwe nn leo
Chukua form utie nia kama Upinzani!Habari za leo wakuu,
Life limekua gumu kitaa natafuta kazi nina shahada ya sociology.
Sina uzoefu.
Nina miaka 24
Mshahara uanzie laki 8 net baada ya makato.lr
Natanguliza shukrani wakuu.
Namashaka kama si kampuni za kamari zile 🤣🤣🤣Meneja wa makampuni tena unatafuta kazi?
Uko vizuri sana!We bado ujapigika na life la kitaa kumbe yan had unjipangia mshara!? Una uzoefu,bado ni fresh graduate alaf unapanga mshara kweli!?
Ushauri wangu: unapo tafta kaz na hauna uzoefu ebu usitangaze kwanza mshahara unaoitaji hadharani, na kwa sasa ajira zimekuwa ngumu hasa kwa fresh graduate kwaiyo nivizuri kama ungetafta NGO hasa vile za mashirika ya wakimbizi uombe kufanya internship Hii itakusaidia kupata uzoefu.
Pili usiangaike kutafta kazi kwa kuangalia mshahara, fanya kazi yeyote inayohusiana na field yako ili kupata uzoefu zaidi.
Tumeish experience sana hayo maishaUko vizuri sana!
atupe mrejesho"Laki nane net baada ya makato" Mungu akujalie hitaji la moyo wako.