ashidodi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 287
- 334
Ndugu wadau wa kilimo, habari za majukumu
Niende kwenye lengo, ninamparachichi ambao huzaa matunda mengi ila una tatizo la kuozesha matunda yake, uozo unaanzia ndani kwenye mbegu kuja nje ya tunda. Je, nifanye nini ili kuzuia hii hali. Uzao wa tatu sasa lakini tatizo ni lilelile. Naombeni msaada.
Nawasilisha
Niende kwenye lengo, ninamparachichi ambao huzaa matunda mengi ila una tatizo la kuozesha matunda yake, uozo unaanzia ndani kwenye mbegu kuja nje ya tunda. Je, nifanye nini ili kuzuia hii hali. Uzao wa tatu sasa lakini tatizo ni lilelile. Naombeni msaada.
Nawasilisha