Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Umoja huu utaitwa Taxpayers Alliance.
Umoja huu utaangalia fwedha yote ya walipa kodi inatumikaje na itaomba ushirikiano wa karibu na kamati ya fwedha ya bunge.
Pia "Code of Conduct" na kanuni zote za wabunge zitaangaliwa na kufuatiliwa kwa undani.
Nnataka wanasiasa walazimishwe kuwasikiliza wananchi wa kawaida.
Nnataka kuona kwamba barabara, hospitali na shule zinakuwa zinaboreshwa kimuundo na kitaaluma.
Wakati wa kufanya mabadiliko umefika.
Naomba kutoa hoja.
Umoja huu utaangalia fwedha yote ya walipa kodi inatumikaje na itaomba ushirikiano wa karibu na kamati ya fwedha ya bunge.
Pia "Code of Conduct" na kanuni zote za wabunge zitaangaliwa na kufuatiliwa kwa undani.
Nnataka wanasiasa walazimishwe kuwasikiliza wananchi wa kawaida.
Nnataka kuona kwamba barabara, hospitali na shule zinakuwa zinaboreshwa kimuundo na kitaaluma.
Wakati wa kufanya mabadiliko umefika.
Naomba kutoa hoja.
Last edited: