PMWAKA
Senior Member
- Aug 29, 2019
- 191
- 206
Hello! Habari wakuu,
Niende direct kwenye mada, kutokana na shughuli zangu ninazozifanya kwa sasa, nalazimika kutafuta usafiri wowote mdogo wa gari (gari ndogo) ili kurahisisha kazi yangu na kuwafikia watu wengi zaidi pamoja na kufanikisha delivery zangu za kila siku, pia sababu natumia pesa nyingi sana kwa kutumia public transport.
Nina kiasi cha million 2 kwa sasa, nafahamu ni kiasi kidogo, hivyo kwa yeyote mwenye gari yake ambayo imepack au haitumii au anaweza tu kuniuzia japo inatumika tafadhari naomba niuzie (kind of help) gari isiwe na engine Cc kubwa, angalau iwe mwisho 1490.
Unaweza kunicontact through : 0764320475
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende direct kwenye mada, kutokana na shughuli zangu ninazozifanya kwa sasa, nalazimika kutafuta usafiri wowote mdogo wa gari (gari ndogo) ili kurahisisha kazi yangu na kuwafikia watu wengi zaidi pamoja na kufanikisha delivery zangu za kila siku, pia sababu natumia pesa nyingi sana kwa kutumia public transport.
Nina kiasi cha million 2 kwa sasa, nafahamu ni kiasi kidogo, hivyo kwa yeyote mwenye gari yake ambayo imepack au haitumii au anaweza tu kuniuzia japo inatumika tafadhari naomba niuzie (kind of help) gari isiwe na engine Cc kubwa, angalau iwe mwisho 1490.
Unaweza kunicontact through : 0764320475
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app