Nina miaka 27 naonekana kama above 35yrs

Mesehomie

Member
Oct 25, 2023
30
177
Mimi ni kijana WA kiume Nimezaliwa 1995 (27miaka) Ila muonekano WANGU ni tofauti kabsa n'a umri wangu halisi.

Nmeuliza watu randomly mtaani wakadirie umri majibu yanarange ,miaka 34,35,36

Nimepata emotional Demage , confidence imepangua sana

Tizama Hizi picha zangu Nmepiga Leo then tia neno au ushauri🤔🤔
 
Inabid uende gaza
JamiiForums-584697601.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unatumia Baby Care au Sabuni Mkuu? JOKE.

ANGALIA KWENYE UKOO WENU MKUU, HUENDA IKAWA UMERITHI SURA YA KIUTU UZIMA KWA NDUGU.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kuna mtu mimi nilikuaga namuonaga kama mzee yani nilimkadiria 40-45 hiv,ina hata salamu nilikua nampa ile ya heshima yani kiutu uzima kabisa... siku niliyokuja kuona umri wake kwenye vitambulisho vyake sikuamini na sitaamini hadi kesho eti ana miaka 29 😒😒
 
Mimi ni kijana WA kiume Nimezaliwa 1995 (27miaka) Ila muonekano WANGU ni tofauti kabsa n'a umri wangu halisi.

Nmeuliza watu randomly mtaani wakadirie umri majibu yanarange ,miaka 34,35,36

Nimepata emotional Demage , confidence imepangua sana

Tizama Hizi picha zangu Nmepiga Leo then tia neno au ushauri🤔🤔

Kweli wewe ni kijana wa kiume...
 
Back
Top Bottom