Nina Advanced Diploma ya Journalism, Natafuta kazi

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Wadau,

Mwenzenu natafuta ajira, nina advanced Diploma ya Journalism & Mass Communication. Uzoefu wangu ni miaka 3 kwenye Media Industry na baadhi ya maeneo niliyobobea ni Communication, Branding, Marketing na Creative Services na nina uzoefu katika uandaaji wa Magazine, TV Show, Video Production, Graphic Design na Animation.

Pia ninaweza kufundisha, ni mwalimu mzuri na ninaweza kusimamia Curriculum Development. Hivyo naomba kama kuna mahali unajua wanaweza kuhitaji mtu mwenye elimu ya Journalism au mojawapo ya huduma hapo juu, niPM tafadhali.
 
Niwaliwahi kuona tangazo la kazi gazeti la wana mbeya please tafuta hiyo kwa google bila shaka deadlines bado pia kupitia bbc Swahili Salim Kikeke wametoa matangazo please jaribu ndugu yangu
 
Wadau,

Mwenzenu natafuta ajira, nina advanced Diploma ya Journalism & Mass Communication. Uzoefu wangu ni miaka 3 kwenye Media Industry na baadhi ya maeneo niliyobobea ni Communication, Branding, Marketing na Creative Services na nina uzoefu katika uandaaji wa Magazine, TV Show, Video Production, Graphic Design na Animation.

Pia ninaweza kufundisha, ni mwalimu mzuri na ninaweza kusimamia Curriculum Development. Hivyo naomba kama kuna mahali unajua wanaweza kuhitaji mtu mwenye elimu ya Journalism au mojawapo ya huduma hapo juu, niPM tafadhali.

Unaweza Kufanya KAZI Maeneo HATARISHI?
 
Sasa Kwanini Tokea Mwanzo Hukuanza Tu Na Kiingereza Chako Cha Ras Simba Mkuu? Kama Ameshindwa Kujisaidia Yeye Na Hiyo ELIMU au FANI Yake Mimi Ndiyo Nitamsaidia Nini? Wenzetu WALIOTUZIDI AKILI Kabla Ya Kuanza Kufanya KOZI Fulani Kwanza Hufanya UTAFITI Wa KUJIRIDHISHA Kama Ina AJIRA au Inaweza Kumfanya Mtu AJIAJIRI Lakini Kwa Huku Kwetu Ni WELEDI Wa " KUKURUPUKA " Hatimaye Ukishamaliza Kusoma Unaanza Kuwasumbua Ma Great Thinkers Humu Ambao Tunapenda Muda Wote Kufikiria Vitu Vikubwa Vikubwa Na Vyenye TIJA.
kwani huwezi kuliwa Tigo bila kuwa mwongeaji ovyo? nakushauri ukaoge hedhi ya mama yako mzazi maana huna adabu, mtoto sio ridhiki wewe
 
kwani huwezi kuliwa Tigo bila kuwa mwongeaji ovyo? nakushauri ukaoge hedhi ya mama yako mzazi maana huna adabu, mtoto sio ridhiki wewe

Mimi Watu Mkiwa Mnapaniki Hivi Nafurahi Sana. Huko Kuliwa Tigo Ni Starehe Ya Watu Pia au Wewe Hujui? Kwahiyo Hata Ukipata KAZI Utakuwa Unatukana Hivi Hivi Hivyo Nakulaani HUTAPATA KAZI KAMWE Na UTAPIGIKA SANA KIMAISHA. Naomba Usiache Kunitusi Mkuu Kwani Unanichangamsha Mno Unavyonitusi Halafu Nakuomba Safari Hii Nizidishie Matusi Zaidi Ya Hayo Uliyonipa Hapo.
 
Mimi Watu Mkiwa Mnapaniki Hivi Nafurahi Sana. Huko Kuliwa Tigo Ni Starehe Ya Watu Pia au Wewe Hujui? Kwahiyo Hata Ukipata KAZI Utakuwa Unatukana Hivi Hivi Hivyo Nakulaani HUTAPATA KAZI KAMWE Na UTAPIGIKA SANA KIMAISHA. Naomba Usiache Kunitusi Mkuu Kwani Unanichangamsha Mno Unavyonitusi Halafu Nakuomba Safari Hii Nizidishie Matusi Zaidi Ya Hayo Uliyonipa Hapo.
kaulaani mku.ndu wa mama yako. tena ikiwezekana mfi.re
 
Ongeza Mengine Mkuu Hapo Bado Hujanishawishi! Kama Umeishiwa Niambie Nikutumie Kwa PM Kisha Wewe Uje Unitusi Huku " Live ".
@GENTA nimeangalia wewe ndio umeanza uchokozi, mwenzako anatafuta kazi badala umshauri unaanza matusi ya kimafumbo....mpaka mmefikia hatua ya kutukanana matusi ya nguoni, mwanaume akiwa hana kazi anakuwa mentally disturbed ni sawa na mwanamke akikosa mume kwani imeandikwa asiyefanya kazi asile tena imeandikwa utakula kwa jasho....sasa wewe unaanza kumtukana tena angekuwavkaribu angekupiga hata mangumi .....kwa kumshauri ndugu yetu ni kwamba kuna internatimal media outlets nyingi zinazotaka ma reporter unaweza kuanza kwa kuwa reporter wa kujitolea, mwandishi wa makala wa kujitolea, pia kuna writing competition nyingi mbazo hutolewa na vyombo hivyo vya habari jaribu ndugu
 
Tuna Radio na Tv tunafungua this january na feb. Radio ni Morogoro na Tv ni Dar

Tuwasiliane hapa +14422610376 whatsapp only
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom