Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,433
- 37,346
Kasie umewahi kukaa kwenye mahaba motomoto kwa miaka mingapi na starehe ulizifanya kwa miaka mingapi tunataka tujifunze kutoka kwako
Kwa sasa niko kwenye mahaba motomoto muda mrefu tuu na starehe tunazifanya na Dadii kwa wakati huohuo.
Mkiheshimiana Mahaba kila siku yanakuwa mapya na matamu na hata hamchokani.
K' Matata.