The best way
Member
- Mar 16, 2023
- 23
- 53
Habari za muda huu wana jamvi. Natumaini wote tu wazima
naomba mchue dakika chache kupititia uzi wangu huu kuhusu ujana wangu ili mpate kunisaidia kimawazo.
Mimi ni kijana wa miaka 28 sasa, ninaishi Dodoma mjini.
Mwaka 2014 wakati nipo chuo nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja hivi anaitwa Nurath,
huyu ni binti ki ukweli mimi sikumpenda au sikumtongoza kwakuwa nampenda au ni mzuri kufikia kiwango kile ninachotaka mimi ila ni mzuri.
Nilimtongoza tu kwa kuwa alinizoea sana kwa kipindi hicho sikuwa na girlfriends hivyo yeye nikaona kuwa atanidharau kwa kuwa anajisogeza kwangu sana mara discussion za usiku mara out huku na huku japo mimi moyoni mwangu najua kuwa sio type yangu kabisa.
So siku zikazidi kwenda na mazoea yakazidi ikabidi nipange mazingira ya kumla ili asinidhalrau maana hawa mabinti ukiwachekea chekea wanakudharua wanakuona nyoka wa kibisaa basi nikamla na nikamla kweli kweli maana ni muda mrefu nilikuwa sijakutana na mwili wa mwanamke.
Toka hapo mapenzi yakaanza lakin mimi nikiwa na langu moyoni kuwa napita tu njia hapa sio mkaaji maana sio type yangu japo yule dada sio mbaya kwa kweli.
Basi tukamaliza first year Diploma tukiwa wote japo akili yangu ni ile ile kuwa hapa napita njia.
Tulifunga chuo kila mtu kwao, sasa nilipofka nyumbani katika pita pita zangu nikakutana na Felister huyu ni binti niliemuacha madarasa mawili kipindi namaliza darasa la saba, ki ukweli toka ndani ya moyo wangu anakila sifa za mwanamke ninaye mtaka mimi kama mimi.
Tukapiga story mbili tatu akanipa namba maisha yakaendelea na mazoea yakaanza kati yetu, siku ya siku nikaona nimwambie kuwa nampenda naye hakuwa na hiyana akanipa nafasi maisha yakaendelea vizurii tu, sasa nikawa na wanawake wawili mmoja wa chuo wa pili wa nyumbani.
Nikafanikiwa kumaliza chuo diploma nikiwa na Nurath japo akili yangu ipo kule nyumbani kuwa ndio mwanamke wa ndoto zangu, nalipomaliza chuo nikajisemea kuwa huu ndio mwish wa mimi kuwa na Nurath kwa kuwa sitaonana nae tena hivyoo nikaona ndio njia nzuri ya kuachana nae bila kumuumiza yaan kimya kimya.
Ilipofika wakati wa ku-apply chuo kwa ajiri ya degree nilichagua chuo cha kwanza tofauti na alichochagua yeye na cha pili hivyovyo ila namba tatu nikachagua chuo ambacho yeye ameweka namba moja, nikiamini hata iweje nitachukuliwa chuo namba moja au mbili na yeye sitaweza kukutana nae tena.
Ila DAH DAH huwezi amini nilichaguliwa chuo chaguo la tatu ambacho na yeye amechaguliwa yaani ikawa automatic tutaenda kukutana tena, dah hadi kufika hapo nikawa nimechoka kabisa ila yeye alifurahi kuwa tutaenda kukutana tena ila kwangu haikuwa hvyooo kabisa.
Felister ni mwanamke mzuri sana ni mcheshi mkarimu anafanya biashara zake za mpesa ana mashamba analimisha msimu ukifika wa kilimo ana piki piki kama mbili hivi( bodaboda) yaani kiufupi anajiweza kujihudumia, na anajua sana mno mapenzi ni mtaalamu haswaa.
Kizuri zaidi ni dini moja kama yangu, ila ubaya wa Felister ni ana mtoto alizaaga baad ya kumliza la saba hata secondary hakwenda. Na mwanaume aliezaa nae bado yupo hai kwa taariifa aliyonipa japo yeye anasema hawawasiliani na huyo mwanaume ni mwanajeshi yupo mkoa mwingine na mke wake huko.
Ki ukweli Felister ananipenda sana mnoo ujue ila unapendwa hadi unajua hapa napendwa ndio ipo hivyo kwangu ananipenda na nampenda pia ila changamoto ni mtoto wake.
Nurath ni mwanamke mpole sana na mcheshi na ana huruma sana na amenisaidia mengi mno hasa maisha ya chuo hasa nikiwa mwaka wa pili ilifkia wakati nilitakiwa nighailishe masomo kwa kuwa sikuwa na ada na sikuwa na mkopo na hali ya kiuchumi nyumbani kwetu ilikuwa mbaya yeye alinilipia ada mwaka mzima na kodi ya geto nilipokuwa nimepanga mwaka mzima.
Yeye alikuwa na mkopo na kwao wao wapo vizuri kiuchumi ukilinganisha na mimi (kwetu), ni mwanamke mwaminifu sana na ni mcha-MUNGU kwa sana kwa dini yake.
Hadi leo nipo nae sababu ya mazoea tu kwa kuwa nimekuwa nae miaka tisa sasa na ukarimu wake kwangu, ila kuhusu mwanamke wa ndoto zangu hajafika vigezoo nipo nae sabab ya mazoea tu nimemzoea sana siwezi pita siku hajanipgia au sijampigia, kingine ni swala la dini yeye na mimi ni dini tofauti,
Nahisi nimefika umri wa kuoa sasa, maana nimemaliza chuo na namshkuru MUNGU ninakazi nzuri na maisha ya-naendelea ila kwenye list yangu yupo Nurath na Felister, nashindwa kuchagua nimuoe nani na nikisema niendelee kutafta mwanamke wa kumuoa naona kuna possibility kubw ya kuingia mkenge maana kwanza nina huitaji mkubwa wa mke so naona matamanio yataniongoza zaidi kuliko uhalisia pili nipo na uwezo kidogo so naona mwanamke atanikubalia sababu nipo na uwezo kuliko uhalisia wa kunipenda, hivyo nabaki njia panda tu nifanye nini.
Kwa Nurath ni dini tofauti lakini fact ya kwanza sijawahi mkubali/kumpenda hadi leo hii nimejitahidi ila nimeshindwa nahisi nikiwa nae nitakuwa namchiti sana ili kutafuta kilicho bora kwangu kwa mahitaj ya moyo wang, kwa Felister shida ni mtoto wake kibaya zaidi mwanaume aliyezaa nae bado yupo hai, nahisi sitakuwa na amani kabisa japo ni mwanamke yule inaemtaka mimi haswaaa.
Naombeni msaad wa mawazooo kati hili! Asante
naomba mchue dakika chache kupititia uzi wangu huu kuhusu ujana wangu ili mpate kunisaidia kimawazo.
Mimi ni kijana wa miaka 28 sasa, ninaishi Dodoma mjini.
Mwaka 2014 wakati nipo chuo nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja hivi anaitwa Nurath,
huyu ni binti ki ukweli mimi sikumpenda au sikumtongoza kwakuwa nampenda au ni mzuri kufikia kiwango kile ninachotaka mimi ila ni mzuri.
Nilimtongoza tu kwa kuwa alinizoea sana kwa kipindi hicho sikuwa na girlfriends hivyo yeye nikaona kuwa atanidharau kwa kuwa anajisogeza kwangu sana mara discussion za usiku mara out huku na huku japo mimi moyoni mwangu najua kuwa sio type yangu kabisa.
So siku zikazidi kwenda na mazoea yakazidi ikabidi nipange mazingira ya kumla ili asinidhalrau maana hawa mabinti ukiwachekea chekea wanakudharua wanakuona nyoka wa kibisaa basi nikamla na nikamla kweli kweli maana ni muda mrefu nilikuwa sijakutana na mwili wa mwanamke.
Toka hapo mapenzi yakaanza lakin mimi nikiwa na langu moyoni kuwa napita tu njia hapa sio mkaaji maana sio type yangu japo yule dada sio mbaya kwa kweli.
Basi tukamaliza first year Diploma tukiwa wote japo akili yangu ni ile ile kuwa hapa napita njia.
Tulifunga chuo kila mtu kwao, sasa nilipofka nyumbani katika pita pita zangu nikakutana na Felister huyu ni binti niliemuacha madarasa mawili kipindi namaliza darasa la saba, ki ukweli toka ndani ya moyo wangu anakila sifa za mwanamke ninaye mtaka mimi kama mimi.
Tukapiga story mbili tatu akanipa namba maisha yakaendelea na mazoea yakaanza kati yetu, siku ya siku nikaona nimwambie kuwa nampenda naye hakuwa na hiyana akanipa nafasi maisha yakaendelea vizurii tu, sasa nikawa na wanawake wawili mmoja wa chuo wa pili wa nyumbani.
Nikafanikiwa kumaliza chuo diploma nikiwa na Nurath japo akili yangu ipo kule nyumbani kuwa ndio mwanamke wa ndoto zangu, nalipomaliza chuo nikajisemea kuwa huu ndio mwish wa mimi kuwa na Nurath kwa kuwa sitaonana nae tena hivyoo nikaona ndio njia nzuri ya kuachana nae bila kumuumiza yaan kimya kimya.
Ilipofika wakati wa ku-apply chuo kwa ajiri ya degree nilichagua chuo cha kwanza tofauti na alichochagua yeye na cha pili hivyovyo ila namba tatu nikachagua chuo ambacho yeye ameweka namba moja, nikiamini hata iweje nitachukuliwa chuo namba moja au mbili na yeye sitaweza kukutana nae tena.
Ila DAH DAH huwezi amini nilichaguliwa chuo chaguo la tatu ambacho na yeye amechaguliwa yaani ikawa automatic tutaenda kukutana tena, dah hadi kufika hapo nikawa nimechoka kabisa ila yeye alifurahi kuwa tutaenda kukutana tena ila kwangu haikuwa hvyooo kabisa.
Felister ni mwanamke mzuri sana ni mcheshi mkarimu anafanya biashara zake za mpesa ana mashamba analimisha msimu ukifika wa kilimo ana piki piki kama mbili hivi( bodaboda) yaani kiufupi anajiweza kujihudumia, na anajua sana mno mapenzi ni mtaalamu haswaa.
Kizuri zaidi ni dini moja kama yangu, ila ubaya wa Felister ni ana mtoto alizaaga baad ya kumliza la saba hata secondary hakwenda. Na mwanaume aliezaa nae bado yupo hai kwa taariifa aliyonipa japo yeye anasema hawawasiliani na huyo mwanaume ni mwanajeshi yupo mkoa mwingine na mke wake huko.
Ki ukweli Felister ananipenda sana mnoo ujue ila unapendwa hadi unajua hapa napendwa ndio ipo hivyo kwangu ananipenda na nampenda pia ila changamoto ni mtoto wake.
Nurath ni mwanamke mpole sana na mcheshi na ana huruma sana na amenisaidia mengi mno hasa maisha ya chuo hasa nikiwa mwaka wa pili ilifkia wakati nilitakiwa nighailishe masomo kwa kuwa sikuwa na ada na sikuwa na mkopo na hali ya kiuchumi nyumbani kwetu ilikuwa mbaya yeye alinilipia ada mwaka mzima na kodi ya geto nilipokuwa nimepanga mwaka mzima.
Yeye alikuwa na mkopo na kwao wao wapo vizuri kiuchumi ukilinganisha na mimi (kwetu), ni mwanamke mwaminifu sana na ni mcha-MUNGU kwa sana kwa dini yake.
Hadi leo nipo nae sababu ya mazoea tu kwa kuwa nimekuwa nae miaka tisa sasa na ukarimu wake kwangu, ila kuhusu mwanamke wa ndoto zangu hajafika vigezoo nipo nae sabab ya mazoea tu nimemzoea sana siwezi pita siku hajanipgia au sijampigia, kingine ni swala la dini yeye na mimi ni dini tofauti,
Nahisi nimefika umri wa kuoa sasa, maana nimemaliza chuo na namshkuru MUNGU ninakazi nzuri na maisha ya-naendelea ila kwenye list yangu yupo Nurath na Felister, nashindwa kuchagua nimuoe nani na nikisema niendelee kutafta mwanamke wa kumuoa naona kuna possibility kubw ya kuingia mkenge maana kwanza nina huitaji mkubwa wa mke so naona matamanio yataniongoza zaidi kuliko uhalisia pili nipo na uwezo kidogo so naona mwanamke atanikubalia sababu nipo na uwezo kuliko uhalisia wa kunipenda, hivyo nabaki njia panda tu nifanye nini.
Kwa Nurath ni dini tofauti lakini fact ya kwanza sijawahi mkubali/kumpenda hadi leo hii nimejitahidi ila nimeshindwa nahisi nikiwa nae nitakuwa namchiti sana ili kutafuta kilicho bora kwangu kwa mahitaj ya moyo wang, kwa Felister shida ni mtoto wake kibaya zaidi mwanaume aliyezaa nae bado yupo hai, nahisi sitakuwa na amani kabisa japo ni mwanamke yule inaemtaka mimi haswaaa.
Naombeni msaad wa mawazooo kati hili! Asante