Mtambuzi yeye anaendelea kunitag tuuu cacico, BADILI TABIA FirstLady1 gfsonwin Kaizer ruttashobolwa (mzee wakujificha pembeni) Rutashubanyuma Tuko Bishanga Preta charminglady King'asti The Boss Kongosho nilikuwa nimsahau SnowBall MadameX BAK..............NAWAMIS SANA SANA ILA nitarudi tena KAMA ZAMANI
Unam-hug kwa ruhusa ya nani?miss you too karibu sana, pokea hug kubwaaa :busu
Amsterdam mbona uliowamisi hapo juu wote hawakukumiss.
tuliokumiss tupo kimya tu hapa.
umeanza lini kupika majungu ya ubwabwa? :nerd:
ooopppsssss tena nakutafuta nikujuze hali ya mum my dear platozoom!! nani tena huyu mod tuandamane jamani?? pole mwaya! ila nitakutembelea mitaa ile, maana ulinifaa wakati wa machungu yangu, sina budi kukufaa pia hapa! lol, pole sana but we are together Amsterdam!
ulijuaje wewe unamfahamu mtu anaitwa Ritz huyu ndie chanzo namlaani kwelikweli
Asante sana FirstLady1maisha kila siku yanakuwa magumu Amsterdam tunatafuta namna ya kutoka ..
Karibu tena jamvini
Umewezaje kummiss charminglady wangu halafu ushindwe kunimiss mimi? nimiss na mimi basi. mia