Habari wadau, nimepokea email kutoka UK ya shirika la The Global warming Policy Fund (GWPF).
Ambao niliwahi apply kazi kwao kw branch ya Tanzania baada ya kuona tangazo lao la kazi.
Sasa juzi nimejibiwa email yenye kunitaariifu nimekuwa shortlisted kwa hatua ya awali, na kunitaka nijaze new staff entry form but ndani ya hiyo form inanitaka nifanye mtihani wa GIA na wamenipa hatua za maelekezo kuhusu website za hao invigilators.
Nilipowacheki hao watu wa GIA, wakanipa a way forwad ikiwemo kulipa exam fee kama laki mbili za KItanzania.
Naomba Ushauri : Je nikalipe nifanye exam niwahi deadline ya kazi kwamba watu huwa wanapata?au
Ambao niliwahi apply kazi kwao kw branch ya Tanzania baada ya kuona tangazo lao la kazi.
Sasa juzi nimejibiwa email yenye kunitaariifu nimekuwa shortlisted kwa hatua ya awali, na kunitaka nijaze new staff entry form but ndani ya hiyo form inanitaka nifanye mtihani wa GIA na wamenipa hatua za maelekezo kuhusu website za hao invigilators.
Nilipowacheki hao watu wa GIA, wakanipa a way forwad ikiwemo kulipa exam fee kama laki mbili za KItanzania.
Naomba Ushauri : Je nikalipe nifanye exam niwahi deadline ya kazi kwamba watu huwa wanapata?au