Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Pole sana. Ni matumaini yangu kuwa utakuwa umejirekebisha. Kumbuka matusi hayajengi. Karibu tena JamviniNdiyo hivyo jamani hatimae nimetoka kwenye Ban baada ya kumtukana Rejao humu jamvini.
Pole sana. Ni matumaini yangu kuwa utakuwa umejirekebisha. Kumbuka matusi hayajengi. Karibu tena JamviniNdiyo hivyo jamani hatimae nimetoka kwenye Ban baada ya kumtukana Rejao humu jamvini.
kongosho,mambo?Kumruhusu mtu a-press button yako ya mwisho ni umasaburu na ukamerun.
Afu uje uoe mwanamme maana wanawake wanakukera sana.
Ndiyo hivyo jamani hatimae nimetoka kwenye Ban baada ya kumtukana Rejao humu jamvini.
Kuna watu wana hisa na JF hivyo ukiwagusa umemgusa Invisible!!!! Lakini mkuu epuka mitego yao hao jamaa, ni mabingwa wa kutega.Ndiyo hivyo jamani hatimae nimetoka kwenye Ban baada ya kumtukana Rejao humu jamvini.
Ulimtukana tusi gani? Andika hilo tusi
na wewe unacheka nini, mazuri hayo kumkashifu mwanamke? Umezaliwa na nani?
Xyzh wakubwa