Nimethibitisha: Majani ya Ngano ni tiba Muafaka ya Kisukari na Kansa

Mkuu nakuelewa wewe ni moja wa magwiji humu JF basi kwa heshima na taathma nakuomba uwaelezee wale wote wenye access ya kupata majani ya ngano jinsi ya kutengeneza juisi hiyo na jinsi ya kuitumia.
 
Mbona Sioni kama yana Vitamini B17 ambayo tunaambiwa ndio ina Fight Against Cancer Cells
Vitavin B17 pekee haitibu kansa kuna virutubisho vingi vinahitajika ili kutibu kansa na juisi ya ngano inavyo.
 
mkuu Mtambuzi tafadhali jibu hapa
Maelezo hayo yako kwenye bandiko langu la awali ambalo nilitangaza kwamba nauza majani ya ngano.

Hili hapa:

Tunauza majani ya ngano kwa ajili ya tiba

Matumizi yake:

-Unachukua majani ya ngano kiasi cha funda moja la mkono kisha unachanganya na maji au Juice ya apple au maji ya madafu kiasi cha robo glass na ku blend na kisha kuchuja na kunywa asubuhi kabla ya kula chochote na jioni kabla ya chakula.
Hii inatumika kama Supplement ambapo kwa matumizi ya mara kwa mara unakuwa umeimarisha kinga ya mwili na kuepuka maradhi.

Kwa wagonjwa wa magonjwa sugu kama Kisukari, shinikizo la damu au kansa inatakiwa uyasage hayo majani kwa kutumia mashine maalum kama hii hapa chini na kiasi kinachotakiwa ni nusu glass au two double ya kipimo cha pombe kali. Juisi ya majani ya ngano isiyochanganywa na kitu ina nguvu sana na ukiinywa unahisi mwili kupata msisimko kama vile umetumia kahawa chungu maarufu kama Espressor.

Kama ukinywa kiasi kikubwa inaweza kukuletea kichefuchefu na kujisikia vibaya na ndiyo maana inasisitizwa kupata kiasi kidogo kutwa mara tatu na mabadiliko ya kimwili kwa maana ya kuona daliliza kupona utaziona baada ya wiki tatu tangu kuanza kutumia kwa mfululizo.

images













Lakini kwa kuwa hizo mashine hazipatikani nchini, kwa ushauri wangu unaweza kutwanga na kinu kidogo cha viungo na kuikamua kama vile tui la nazi na kupata kiasi kinachotakiwa kwa matumizi yaliyokusudiwa.

Vidokezo muhimu vya kuzingatia:

-Kama hufurahii ladha yake unaweza kula kipande cha chungwa baada ya kunywa ili kuondoa ladha yake kinywani.

-Majani yake yaliyovunwa yanaweza kukaa kwenye jokofu kwa siku saba na baada ya hapo yanakuwa yamepoteza virutubisho vyake na hayafai kwa matumizi.

-Juisi ya majani ya ngano haitakiwi kuandaliwa na kuwekwa kwenye jokofu kwa matumizi ya baadaye kwani itapoteza virutubisho vyake, inashauriwa iandaliwe na kutumiwa muda huo huo.

-Kwa wale wenye matatizo ya ngozi wanapaswa kutumia kwa kunywa na kupaka maeneo husika kila siku usiku kabla ya kulala.

Kwa maswali na ushauri mnaweza kuyaweka hapa na mimi nitayajibu kwa kadiri ya uwezo wangu.
 
ok mkuu so umeprove inaponya vidonda vya tumbo nataka nikuunganishe na mtu mmoja
 
Salaam Mtambuzi

Nataka kujua hayo majani ya ngano yanatakiwa yavunwe yakiwa na siku ngapi?

Kwa tatizo la ngozi nathibiyisha inasaidia sana kwani nilikuwa nasumbuliwa na Sun burn baadhi ya tissue ya ngozi ilikuwa inakufa. Nikashauriwa kutumia juice yake kwa kunywa na kupaka ujiuji wake usiku, ila ngano isivuke siku saba hivyo nilikuwa na vitalu.

Asante sana kwa darsa.
 
Nakushukuru mtoa mada (Mtambuzi), kwa kuwa muwazi hivyo, kuna wengine wanaficha maelezo mengine mpaka um-PM!!!
 
Sahihisho: Ni kirutubisho na SIYO tiba. Haya mtu aache chemo eti anakunywa juice ya majani ya ngano tuone. Utakuja kuua watu mkuu...
 
Mbona Sioni kama yana Vitamini B17 ambayo tunaambiwa ndio ina Fight Against Cancer Cells

Vitamini B 17 inapatikana kwenye mbegu ya Apricot na apples.

Hata hivyo katika ile orodha ya tiba za asili ya Ugonjwa wa Cancer , majani ya ngano yamo.
 
Salaam Mtambuzi

Nataka kujua hayo majani ya ngano yanatakiwa yavunwe yakiwa na siku ngapi?

Kwa tatizo la ngozi nathibiyisha inasaidia sana kwani nilikuwa nasumbuliwa na Sun burn baadhi ya tissue ya ngozi ilikuwa inakufa. Nikashauriwa kutumia juice yake kwa kunywa na kupaka ujiuji wake usiku, ila ngano isivuke siku saba hivyo nilikuwa na vitalu.

Asante sana kwa darsa.
Ni kweli ukipata mbegu nzuri inatakiwa ivunwe baada ya siku saba na baada ya kuvunwa inahifadhiwa kwenye jokofu ambapo hudumu kwa siku saba tu zaidi ya hapo haina faida inakuwa imekufa.
 
Sahihisho: Ni kirutubisho na SIYO tiba. Haya mtu aache chemo eti anakunywa juice ya majani ya ngano tuone. Utakuja kuua watu mkuu...
Acha uongo.
hakuna mahali nimekataza watu kutumia Chemo.Juisi ya majani ya ngano inakwenda sambasamba na matumizi ya chemo kwa sababu pia huuwa sumu ya chemo mwilini.

Kama mtu yuko comfortable kwenda row food ikiwemo juisi ya majani ya ngano ni sawa anaweza kupona tena kwa haraka bila kuathiri mwili wake.
 
Vitamini B 17 inapatikana kwenye mbegu ya Apricot na apples.

Hata hivyo katika ile orodha ya tiba za asili ya Cancer , majani ya ngano yamo.
Waambie maana watu ni wabishi sana humu.

Mimi nimetibu mtu mwenye kansa kwa miezi mitatu na sasa ni mzima wa afya
 
Waambie maana watu ni wabishi sana humu.

Mimi nimetibu mtu mwenye kansa kwa miezi mitatu na sasa ni mzima wa afya
Mkuu wabishi wapo popote usipoteze muda kubishana nao, endelea kuwajibu wenye shida,
 
Grains like millet, buckwheat and
barley and flax are good sources.
Nuts like bitter almonds, cashew
nuts and macadamia nuts are
excellent sources of Vitamin B17.
 
Back
Top Bottom