newdiplomat
Member
- Nov 17, 2015
- 6
- 5
Ndugu zangu, nimeshinda kesi yangu dhidi ya mwajiri wangu wa zamani pale CMA, naomba kujulishwa utaratibu ukoje kama hajakupa taarifa za kukulipa baada ya ule muda wa siku 14 wanazopewa kuisha?
Ngoja waje wataalam wa haya maswala.Ndugu zangu, nimeshinda kesi yangu dhidi ya mwajiri wangu wa zamani pale CMA, naomba kujulishwa utaratibu ukoje kama hajakupa taarifa za kukulipa baada ya ule muda wa siku 14 wanazopewa kuisha?