spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Great Thinkers,
Hivi punde nimesafiri na ndege za 540.
Wahudumu wangu walikuwa George na Moses akati Ruban wetu alikuwa Adili. ila Co pilot simkumbuki)
Maelezo ya usalama yalitolewa kwa uzuri na Moses huku George akitumia ishara mbalimbali kama namna ya kufunga mkanda nakadharika.
Nilishangaa sana Moses alijizuia mazima bila kueleza namna ya kutumia Life jackets ikabidi niangalie chini kiti changu nikagundua kuwa halikuwepo.
Nikasema labda kwa wenzagu yapo nikapitisha jicho pia sikuyaona.
Siku nyingine tena hivyo hivyo zaidi kukawa ndani ya ndani hakuna Fan ama sijui AC ilikuwa haifanyi kazi ila akatuomba radhi wasafiri kuwa pindi ndege ikipaa hewa itakuwa ya kutosha.
Naomba sana mamlaka husika ziwe makini kuangalia masuala haya, nilitoa lalamiko kama hili juu ya mafuriko haikupita mwezi yaliyotokea Dar kila mtu ni shahidi.
Nawasilisha
Hivi punde nimesafiri na ndege za 540.
Wahudumu wangu walikuwa George na Moses akati Ruban wetu alikuwa Adili. ila Co pilot simkumbuki)
Maelezo ya usalama yalitolewa kwa uzuri na Moses huku George akitumia ishara mbalimbali kama namna ya kufunga mkanda nakadharika.
Nilishangaa sana Moses alijizuia mazima bila kueleza namna ya kutumia Life jackets ikabidi niangalie chini kiti changu nikagundua kuwa halikuwepo.
Nikasema labda kwa wenzagu yapo nikapitisha jicho pia sikuyaona.
Siku nyingine tena hivyo hivyo zaidi kukawa ndani ya ndani hakuna Fan ama sijui AC ilikuwa haifanyi kazi ila akatuomba radhi wasafiri kuwa pindi ndege ikipaa hewa itakuwa ya kutosha.
Naomba sana mamlaka husika ziwe makini kuangalia masuala haya, nilitoa lalamiko kama hili juu ya mafuriko haikupita mwezi yaliyotokea Dar kila mtu ni shahidi.
Nawasilisha