Master Gibs
Member
- Dec 18, 2022
- 21
- 33
we jamaa ww
SawaMatango pori
Masikini pole sana unatia huruma.Nimeshakufanyia vetting ulimwengu wako wa 2... unafaa kua mke wangu wa pili... njoo pm haraka. Am serious ukikaidi shauri yako
Wewe ni mshabiki wa yanga?
Ngoja nianze kukuchezesha sasaMasikini pole sana unatia huruma.
AKILI umezivundika wapi mkuuSalamu...
Uungwana wangu ninaotoka udogoni, sijala cha mtu na sipendi dhulma, achilia mbali kuonea mtu
Jana niliamua kunyoosha miguu kidogo, kuanzia saa 12 jioni nikawa nafanya mazoezi ya kutembea, nikakatiza mitaa kadhaa...
Ukimaliza nishtueNgoja nianze kukuchezesha sasa
Upo dsm?Ukimaliza nishtue
aisee kazi kwelikweli 😂😂😂Leejay49 Lovie Lady hili nalo lisiwapite 😂
Mwanangu nimekusikia nami nakuambia kua uyaone... nilidhani umechangia kunitia nguvu kumbe umekuja kunidhihaki kuwa nina njaa... ahsante!Vijana najua kuna ugumu wa pesa na suala la ajira limekua gumu ! Ila hakikisheni kwenye kupambana kwenu msikose milo mitatu angalau kwa siku ! Hata kama chakula kitakua kibaya hakikisha umekula umeshiba!! Njaa inaleta uchizi
Na hii nchi kama mnavyojua maswala ya Afya ya akili hatujawa tayari kuyashughulikia ! Tunaona ni kama mtu anafanya makusudi kumbe ndo tunampoteza