Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe

Bilionaire kekeman

Senior Member
Nov 26, 2022
142
823
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.

Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.

Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
 
Jana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya

Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...

Dah JF ina visanga

Screenshot_20231027-081134.png
 
Jana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya

Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...

Dah JF ina visanga

View attachment 2794253
wahuni sio watu wazuri
 
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.

Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.

Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Machizi huwa hawaponi, wanapataga nafuu tu
 
Back
Top Bottom