Nimerudi rasmi

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Kijijini kuku wa kienyeji wengi sana, na mbuzi nimekula vya kutosha na nimerudi wapendwa. Rose1980 njooo uchukue magimbi nimekuletea mamaa, wengine wooote mtapata viazi mviringo!!!! Halafu maviazi maviringo yenu kumbe yanalipa saaanaaa msiyapeleke mjini maana kijijini yanahitajika na yana bei kubwa na kutajirisha wengi .
Thank you
Let us wait for a new year panapo majaaaliwa.
GOD BLESS YOU ALL
 
karibu mkuu. ulipoondoka wengine tukaingia ila usihofu nafasi yako bado ipo. hope ulienjoy short vacation yako
 
asante sana kwa kunikumbuka na kwa mzigo ulioniletea...dah thax so much!1
ningejua upo uko ningekuagiza MAYAI YA SIMBLIS...au cjui maziwa yake..haha hah ivi ana maziwa yule ennh? ennh ivo ivo ningeshukuru
bt thax god km umerud salam
welcome bak ma papi pai..hpfull auataondoka tena ukaniacha mpweke mie...miss u badly..miss u badly..!!!!!!!!!!
 
asante sana kwa kunikumbuka na kwa mzigo ulioniletea...dah thax so much!1
ningejua upo uko ningekuagiza MAYAI YA SIMBLIS...au cjui maziwa yake..haha hah ivi ana maziwa yule ennh? ennh ivo ivo ningeshukuru
bt thax god km umerud salam
welcome bak ma papi pai..hpfull auataondoka tena ukaniacha mpweke mie...miss u badly..miss u badly..!!!!!!!!!!

I'm here now
 
Back
Top Bottom