Mmmh hivi itakua kinyume na sera yetu ya nchi ya viwanda na ajira kwa watanzania walio wengi ???Daaaaah inamaana sisi ajira zetu ndo basi tena
Unaona sasa! Sisi tulishakumbwa na hofu kuwa Dangote "Mazganyanza"
Kabla sijaondoka hewani tuambie mkitokea wapi hadi mkajikuta mpo mkuranga./QUOTE]Kwani ndege si tulinunua msumbiji?umesahau?
Aah kule walishaichoka kitamboIlishaanza kutumika huko au brand new
Habari ipo kwenye jukwaa sahihi, umefanya jambo zuri sana kusoma jukwaa.