Kivipi mkuuUtapeli
Documents gani unakosa??Passports mchawi ni documents tu, ukiwa nazo unaipata within 2-3 weeks bila kutoa hata mia
Sioni haja ya wewe kupigiwa simu au kufuatwa wasap
Hujaona namba za simu na ID mpya?Kivipi mkuu
💪💪💪💪💪💪Hujaona namba za simu na ID mpya?
Kwanini cheti cha NIDA pekee kisitoshe? Kwani NIDA si inazo taarifa hizi zingine?Documents gani unakosa??
Namba ya nida?? Nenda ofisi za Nida
Cheti za kuzaliwa?? Nenda ofisi za mkuu wa Wilaya.
Cheti za mzazi?? Nenda mahakamani au kwa mwanasheria ukaape (kama hakipo)
Barua ya unakokwenda?? Nenda kanisani (kama ni mkristo mwambie mchungaji wako akauandikie barua ya kwenda kuiji Israel , kama ni mmuislam shekhe anakuandikia barua ya kwenda kuiji Maka.
Kama mtumishi ongezea na barua ya mwajiri.
Wakikuzingua omba namba ya kamishina.
Kukosa Passport ni UZEMBE WAKIPUMBAVU
Umeumiza mkuu, mimi Passport niliipata bila kikwazo hata kimoja kutokana na kukamilisha documents tena kwa usahihi.Documents gani unakosa??
Namba ya nida?? Nenda ofisi za Nida
Cheti za kuzaliwa?? Nenda ofisi za mkuu wa Wilaya.
Cheti za mzazi?? Nenda mahakamani au kwa mwanasheria ukaape (kama hakipo)
Barua ya unakokwenda?? Nenda kanisani (kama ni mkristo mwambie mchungaji wako akauandikie barua ya kwenda kuiji Israel , kama ni mmuislam shekhe anakuandikia barua ya kwenda kuiji Maka.
Kama mtumishi ongezea na barua ya mwajiri.
Wakikuzingua omba namba ya kamishina.
Kukosa Passport ni UZEMBE WAKIPUMBAVU
Kawaulize uhamiaji hayo!! Uzuri siku hizi unajaza fomu online unaprint unaenda nazo fasta within a week uko na chuma mkononi. Kama vipi mcheki mwana hapo juu upigwe na chuma kizitoKwanini cheti cha NIDA pekee kisitoshe? Kwani NIDA si inazo taarifa hizi zingine?
Dtj! Achana na huyo pimbiPassport ni jambo rahisi kupata! Na kama kuna changamoto basi kwenye mfumo kuna namba za simu. Wewe utafutwe kwa lipi?
UTAPELI!
Wenye njaa tuko wengi mbwa wewe kama unatuma tutumie wote sio unakua mbaguzi!!Mleta mada nimekutumia 100K ya kula inaonekana una njaa.
Endapo ukimaliza ndani ya wiki hii sema tu nikuongezee nyingine.
Enjoy maisha mm nipo kwa ajili yako/yenu.
Utainamishwa endelea tu kuendekeza njaa.Wenye njaa tuko wengi mbwa wewe kama unatuma tutumie wote sio unakua mbaguzi!!