Nimepata gari ya laki mbili

Jamani,nimecheeeeka,asante wadau kwa kutufurahisha kwa post zenu za kuchekekesha.
 
Tupe hali ya gari mutu mrefu. Kama bado linatembea nilinunue kwa bei ya juu kidogo. Hatutoshindwana bei. Uni-PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom