GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
"Daima Mbwele Nyuma Mbwiko"
Kudadadeki zenu Waajentina Wote.
Kudadadeki zenu Waajentina Wote.
Leo umepata faida kwenye mihogo hapo sokoni kawe? Yule fundi cherehani mlielewanaje?"Daima Mbwele Nyuma Mbwiko"
Kudadadeki zenu Waajentina Wote.
Daima Mbwele Nyuma Mbwiko.Kama huna Cha kupost Kaa kimya msen- ge manyoya ww
😃 Huyu dogo nilimvizia sana wakati ule aliposhinda ile zawadi yake ya mchongo ili nimuone live! Kwa bahati mbaya wenye jamii forums yao wakawapa hizo zawadi zao kwa kificho.Leo umepata faida kwenye mihogo hapo sokoni kawe? Yule fundi cherehani mlielewanaje?
hajui kiswahili akikosea sawa tu"Daima Mbwele Nyuma Mbwiko"
Kudadadeki zenu Waajentina Wote.
Ya kweli haya sheikh?Huyu dogo nilimvizia sana wakati ule aliposhinda ile zawadi yake ya mchongo ili nimuone live! Kwa bahati mbaya wenye jamii forums yao wakawapa hizo zawadi zao kwa kificho.
Nilipanga kumtafuta kijana mmoja tu ambaye amevaa kofia kubwa la pama ili kuficha masikio yake, au aliyevaa gloves mikononi ili kuficha vidole vyake. Maana yule Mzee Cherehani (muuza mihogo maarufu soko la Kawe) alichomfanyia huyu dogo, siyo poa hata kidogo.
Halafu usichanganye! Mzee Cherehani ndiye muuza mihogo. Huyu dogo anauza mitumba. Na hivyo kupitia hiyo biashara yake, alimrubuni mke wa Cherehani kwa kumpa hela ya kulipa kwenye vicoba na hivyo kutembea naye. Alichokipata, ni ukumbusho wa milele kwake. Maana jamaa aliondoka na vidole vya mikono na kipande cha sikio.
Kama hajui Kiswahili kulikuwa na ulazima akizungumze? Hana Akili sawa?hajui kiswahili akikosea sawa tu
Watu wengine ni mpaka watukute tumevaa Msuli mbele ya Mama zao Chumbani ndiyo Watatuheshimu.Ya kweli haya sheikh?
Nadhani Siku ukinikuta nimevalia Msuli natoka Kuoga na narejea Chumbani kwa Mama yako ndiyo utaniheshimu.😃 Huyu dogo nilimvizia sana wakati ule aliposhinda ile zawadi yake ya mchongo ili nimuone live! Kwa bahati mbaya wenye jamii forums yao wakawapa hizo zawadi zao kwa kificho.
Nilipanga kumtafuta kijana mmoja tu ambaye amevaa kofia kubwa la pama ili kuficha masikio yake, au aliyevaa gloves mikononi ili kuficha vidole vyake. Maana yule Mzee Cherehani (muuza mihogo maarufu soko la Kawe) alichomfanyia huyu dogo, siyo poa hata kidogo. 😃
Halafu usichanganye! Mzee Cherehani ndiye muuza mihogo. Huyu dogo anauza mitumba. Na hivyo kupitia hiyo biashara yake, alimrubuni mke wa Cherehani kwa kumpa hela ya kulipa kwenye vicoba na hivyo kutembea naye. Alichokipata, ni ukumbusho wa milele kwake. Maana jamaa aliondoka na vidole vya mikono na kipande cha sikio.
Ungekuwa Usambaani, tungekuwa tunakuita Mkiau!Nadhani Siku ukinikuta nimevalia Msuli natoka Kuoga na narejea Chumbani kwa Mama yako ndiyo utaniheshimu.