Nimemsaliti mpenzi wangu nifanyeje asahau?

Mtu anamwaga maji then ndio anakuja kutuambia sisi tuyazoe? Kwanza alishasema malengo yake na amefanikiwa..... Hata hivyo, tunajaribu kumsaidia lakini katoweka, sasa tumsaidieje wakati ukimuuliza maswali ambayo huenda yangekusaidia kumshauri hajibu......?

Halfu nashangaa maswali tunayomuuliza hajajibu hata moja anakimbia hoja au ndio uoga wa kujibu hoja kwakuwa anajijua ana makosa
 
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
Ushageuka jamvi.....
nakushauri usepe... hayo machozi yakikauka...utakutwa ck moja kichwa kimetengana na mwili...!! bora ungechakachuliwa na mtu mwingine ila c rafikie....!!
 
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
.


Huna haya mwanamke. Unajuwa wanawake huwamtunatakiwa tuwe na haya, umetuhaibisha sana cc wanawake, bora kama kungekuwa NA JUKWAA LA WANAWAKE PEKE YETU, SASA WABABA WAMEONA KWAMBA WANAWAKE HUWA TUNAFANYA HUU UCHAFU LOH!!!! SASA HAPA UNAOMBA USHAURI AU UNAJISIFIA KWA HAYO MATENDO YAKO YA KIFEDHULU ULIYOFANYA AIBU!!!!!
 
.


Huna haya mwanamke. Unajuwa wanawake huwamtunatakiwa tuwe na haya, umetuhaibisha sana cc wanawake, bora kama kungekuwa NA JUKWAA LA WANAWAKE PEKE YETU, SASA WABABA WAMEONA KWAMBA WANAWAKE HUWA TUNAFANYA HUU UCHAFU LOH!!!! SASA HAPA UNAOMBA USHAURI AU UNAJISIFIA KWA HAYO MATENDO YAKO YA KIFEDHULU ULIYOFANYA AIBU!!!!!

mambo vipi Safina?jina hilo lanikumbusha mbali sana!!!!!
 
Ukitoa roho ya mtu utaomba msamaha au utafurahia..................wewe ulidhamiria kufanya ivyo sasa unajilaumu nini..
 
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
????????????
Kwani ni uchi wa nani umeanikwa na kudhalilishwa?
Nani kakojolewa?
Nani kapekechwa?
Uvundo na maharufu ya nani yamebainika?

Bila shaka ni wewe na uchi wako..... Aidha, ningekuwa huyo jamaa ningefanya kama ifuatavyo;

  1. Sitakusememsha wala kukugombeza....
  2. Nitaendelea kukuchakachua hadi nitakapompata mwingine, japo kwa uangalifu na kamwe sitasahau kutumia kinga mbili kwa mara moja...
  3. Nitaondoa ubinadamu, na huenda nikakufanya hata tofauti na binadamu anayependwa.....
  4. Mara moja fikira za kuwa nawe daima nitazifuta, tena bila kukutaarifu wala kukuonesha ishara yeyote....
  5. Kila nitakapolala nawe kesho yake kila mtu atajua nilichokiona huko, hata mauchafu yako sina sababu ya kuyahifadhi... maana sina muda wa kuhifadhi siri za mtu asiye hifadhi mwenyewe....
Hapo lazima utambue kuwa hukunikomoa mimi, bali umejikomoa mwenyewe..... na kamwe usidhubutu tena...... Ni ulichokifanya lazima ujutie katika maisha yako yote.... Ni lazima uwahadidhie wanao ukijaaliwa.......
 
Back
Top Bottom