The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,072
Mtu anamwaga maji then ndio anakuja kutuambia sisi tuyazoe? Kwanza alishasema malengo yake na amefanikiwa..... Hata hivyo, tunajaribu kumsaidia lakini katoweka, sasa tumsaidieje wakati ukimuuliza maswali ambayo huenda yangekusaidia kumshauri hajibu......?
Halfu nashangaa maswali tunayomuuliza hajajibu hata moja anakimbia hoja au ndio uoga wa kujibu hoja kwakuwa anajijua ana makosa