KabisaTanzania kuna vijana wapumbafu sana..
Kwani mtoto wa miaka 6 atakupa shida gani? Katika maisha yako hautalea ndugu na jamaa katika dunia hii? Oa kwani akizaa anabadilika nini? Kuna watu hawana watoto wametumika zaidi ya gari za mbagala.Habari za Usiku wana jf . Kuna mdada Nmempenda Sana. Natamani nmuoe lakini ana mtoto mmoja na mm sina. Mtoto ana miaka 6 . Naomba ushauri tafadhali
Kwa sababu gani? Yeye amependa Ila kikwazo ni huyo mtoto wa miaka 6, mpe ushauri afanyaje amwekee Sumu kuvunja bond na Baba yake Ila abake na huyo Mwanamke akiwa hana mtoto?Kabisa
Mi Naona ukipenda huna haja ya kuomba ushauri mkuuKwa sababu gani? Yeye amependa Ila kikwazo ni huyo mtoto wa miaka 6, mpe ushauri afanyaje amwekee Sumu kuvunja bond na Baba yake Ila abake na huyo Mwanamke akiwa hana mtoto?
Huwa napanda gari za Mbagala. Siyo poa yaani! 😁😁😁Kuna watu hawana watoto wametumika zaidi ya gari za mbagala.
Kwa hio ukipenda unatumbukia tu bila kuuliza waliokuzidi umri?Mi Naona ukipenda huna haja ya kuomba ushauri mkuu