Ekitarangwe
Member
- May 29, 2008
- 13
- 0
Haya wana JF Nipeni ushauli nimemkuta mchungaji anavunja amri ya sita na mkewangu akaniomba nisimzuru ila twende wote kwake namimi nikamgonge ngozi mkewake, kufika kwamkewe akampa full mkanda nakilichotupeleka pale mwanamke akagoma kutoa mashine akasema mmalizane hukohuko msinihusishe mimi sasa nifumbe macho nimgonge huyu mtumishi wa mungu? manake yukotayali kufanyiwa chochote ilimladi nisitangaze waumini wakapata huu mkada, na mwanamke nimfanyeje?