Nimemfukuza kazi shabiki wa Yanga

Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Hili ni tatizo , wewe mwenyewe mpaka hapo hauko sawa au ni shabiki lia lia wa simba

Ndio kawaida ya watu ambao wanamahaba sanaa na timu za mpira alafu mbaya zaidi mkawa wapinzani lazima umfukuze , because ile furaha yake ya kushinda game inakukera na wewe timu yako ikishinda ile furaha inamkera so lazima mpishane
 
Sema tu ulichotaka kumaanisha.

Lakini kama umemfukuza kweli. Elewa ulichokifanya hakuna tofauti na ubaguzi wa rangi. Sawa na unyanyasaji wa kijinsia. Sawa na ubaguzi wa kidini.

Najua wewe ni simba lakini lazima uwe na uvumilivu. Mimi nina vijana wawili ofisini kwangu ni simba lia lia,lakini tunabishana tu sana mambo ya mpira tunaishia kwenye mpira. Labda tu ni vile mashabiki wa simba wengi ni wale watoto watoto,wengi akili hazijapevuka,wanajua kushabikia simba tu ndio mwisho wa maisha. Kumbe kuna maisha mengine baada ya pale . Hata humu jamvini ni mashabiki wa simba tu wenye kutukana matusi tu.

Huyo dogo tambua umemuonea. Majibu utayapata tu,inaweza isiwe leo,ni siku nyingine tu ambayo hutaikumbuka
Hakuna boss hapo unapoteza mda wako bure
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.


Upo sahihi, maana mtu mwenye uwezo wa kuwa na biashara yake na kuajiri hawezi kuwa mpuuzi kama wewe
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Wewe ni numbu/kiazi sema ueleweke ulikuwa na mpango wa kumfukuza tu sababu za ukoloe wako.
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Mbumbumbu bhana wewe mwenyewe ni jobless umuajiri nani?
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Brother umeanza kumiliki offis lini, we sindiyo yule uliekuja PM yangu juzi tu hapa, nikusaidie kukupeleka kwa mganga upate kazi!!
Wabongo kwa sifa, nawakubali.
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Kwa uzi huu, tatizo kubwa ni wewe. Saa nyingine shida hazina adabu, ila kuajiriwa na mtu mwenye ajili za hivi tatizo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sio mtaalamu sana, anzia kwa ku google uone kama hayo maneno ni tenganifu muda wote ama yaweza kuwa ni noun phrase unganifu, emotion is a word and intelligence is a word so is emotional intelligence as a noun phrase or a phrase
Nachangamsha tu uzi wako, ulieleweka bro
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Utoto raha sana...
 
Tupatie jina la kampuni yako na sisi mashabiki wa yanga tuikwepe kufanya nayo biashara sababu bosi wake ni kichaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom