Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
yaelekea kuna "personality clash".....kati yenu..........wewe umeitambua na mwenzio vivyo hivyo............yeye kujisikia sana ni dalili ya kuwa anajiona yu bora sana au yuko juu zaidi ya kwako.......................na wewe kukwaruzika kiasi cha kumchukia yaashiria ya kuwa wajiona u mnyonge kwake vinginevyo ungelimpuuza majigambo yake na ukaendelea naye bila ya zengwe..................kwa lugha ya wenzetu wewe una..................very low self-esteeem na yeye ni hopelessly egoistic.........................nishaurini....nipige chini mazima nianze upyaa?
kujitambua nafsi yako na kuitambua nafsi ya mwandani wako ni hatua kubwa ya nyote kuwasiliana ili mjirekebishe..................
Swali langu kwako ulikwisha kumegewa hapo..........baada ya kunijibu hapo nitakuwa na neno tamu la nyongeza................vinginevyo alamsiki................ila halahala........usiache mbachao kwa msala upitao.......................