Dogo unavuta bangi?Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.
Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.
Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.
Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.
Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.
Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.
Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.
Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu
Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Mtoto wa kiume kulia lia sio solution, amka pambana kapigane vita vya kimaisha ukiwa imara, hata hiyo elimu ya ualimu unayosomea haitakusaidia kitu, ingia mtaan kapambane sana, katafute hela, kulia lia maisha magumu sio michongo, maisha ni magumu kabla hata hujazaliwa wewe, life has never been easier my bro, sikusimangi sikukosoi, wala sikukejeli, ila nakumotivate u-transform akili yako kutoka kuwa mlalamishi na kuwa mpambanaji.Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.
Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.
Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.
Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.
Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.
Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.
Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.
Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu
Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Ni kweli hali n ngumu hakuna ajira mpk watu waliofika chuo icho ndo kinaumiza ujue n bora mtu umalize la saba unaingia mtaan kwa nguvu zote kuliko ushapiga degree uingie mtaani unaanza kila kitu unaonewaHizi mada za vijana kuwa depressed mbona zimezidi sana humu jukwaani! Hili ni tatizo.
Jikaze dogo utatoboa tu kwa Neema ya Mungu.Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu
Kwakweli inatia simanzi.....unamaliza Kozi ambayo wenzako wana miaka mitatu hadi minne mitaani hakuna ajira.Ni kweli hali n ngumu hakuna ajira mpk watu waliofika chuo icho ndo kinaumiza ujue n bora mtu umalize la saba unaingia mtaan kwa nguvu zote kuliko ushapiga degree uingie mtaani unaanza kila kitu unaonewa
Maisha ni mapambano tena wewe unabahati ya kuendelea na masomo jifunze kumshukuru Mungu kwa kila jambo, remember there is no shortcut in lifeMimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.
Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.
Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.
Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.
Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.
Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.
Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.
Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu
Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Kwa mawazo haya tayari ushaingia kwenye cirle ya umaskini. Sahau kuhusu Degree yako, usitangulizenusomi wako, Vua joho la aibu kata mzizi wa kutothubutu.Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.
Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.
Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.
Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.
Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.
Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.
Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.
Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu
Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Wewe ni mjinga unayetaka kujiua kwa sttess,umri wako mdogo bado uko chuo unawaza kumiliki V8,soma dogo acha ujingaMimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.
Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.
Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.
Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.
Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.
Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.
Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.
Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu
Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Dogo ana mambo ya kingese sanaELimu haijakusaidia kabisa ,yaani umefika chuo hadi mwaka wa tatu then unalalamika? vipi kuhusu wale ambao hata darasa la kwanza hajafika na yupo kitaani? Hapo chuo hauchukui BUMU?
Boom ndio nini? Boom haitoshi hata kulipia ada.ELimu haijakusaidia kabisa ,yaani umefika chuo hadi mwaka wa tatu then unalalamika? vipi kuhusu wale ambao hata darasa la kwanza hajafika na yupo kitaani? Hapo chuo hauchukui BUMU?