Nimekuta naye Januari, baada ya miezi penzi chali

Nilikutana na huyu Bibie kupitia mtandaoni yaan nyie mnaita social network nikapiga vocal dogo hakupangua , hiyo ilikuwa January. Baada ya zile vocal dogo akaonyesha ushirikiano wa kiwango cha daraja la kwanza yaani cals and texts kila siku ebana nikapanga tukaonane face to face ....basi nikamfuata mpaka Kahama tokea Nzega

Yaani baada ya kuonana nahisi dogo hakufagilia muonekano wangu wa ki gangsta japo hakusema na hata baada ya hapo ushirikiano ukaanza kupungua kwa kasi mnoo yaani mpaka ulipofikia mwezi Machi dogo hasomeki japo hakusema NO ila kwa vitendo tu najua dogo kanizingua.

Sasa ndio hivyo tena mwamba bado nasaka maokoto pande za Mwakitolyooooo
Itakuwa labda yey alikuwa anataka mtu serious (mume)ila kaona husomek kaona asipoteze mda na gangster 🤭🤭
 
😁😁😁umenifurahisha aise..

mavazi tunayovaa hututengea madaraja na watu😀
Kuna vitu ambavyo kwangu hata sio kipaumbele, mavazi moja wapo.Sasa kama watanipotezea kwasababu hii basi sina neno😂.
Mimi siwezi fake life am so real
 
Gangster wap umeenda umevaa majezi yako ya polister na macheni ya masufuria unategemea nin
 
Ukienda kukutana na mwanamke ,hakikisha unanukia na upo smart sana ila nakumbusha tuu usiende ukiwa umevaa suruali ya kitambaa , ni mara mia kuvaa jinsi lililo chanika chanika kuliko suruali ya kitambaa..

Shauri yenu kweli.
 
Ukienda kukutana na mwanamke ,hakikisha unanukia na upo smart sana ila nakumbusha tuu usiende ukiwa umevaa suruali ya kitambaa , ni mara mia kuvaa jinsi lililo chanika chanika kuliko suruali ya kitambaa..

Shauri yenu kweli.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom