NIMEJISHUHUDIA MWENYEWE yA KWA BABU LOLIONDO

Iron-rock

Member
Feb 26, 2011
53
7
Salam sana wana jf.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi kujvuta nje.
Ila sasa hali ya maisha ni ngumu mno.imagine soda,ni1000,maji madogo1500,sujari 1kg3000.
Ila babu kaonya kwamba asije m2 akategemea kupata faida kutokana na kudhulumu wagonjwa.
So wito kwa wanaokuja kwa babu,kupona ni hakika ila kuna foleni ile mbaya,beba chakula, na aji yanayotosha kwa muda wa wiki,nguo hasa makufuli if u ar ze woman coz its 2hot na maeuka hakuna is vbanda.
 
naona posted via mobile, je bado upo huko au umesharudi?
 
Salam sana wana jf.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi kujvuta nje.
Ila sasa hali ya maisha ni ngumu mno.imagine soda,ni1000,maji madogo1500,sujari 1kg3000.
Ila babu kaonya kwamba asije m2 akategemea kupata faida kutokana na kudhulumu wagonjwa.
So wito kwa wanaokuja kwa babu,kupona ni hakika ila kuna foleni ile mbaya,beba chakula, na aji yanayotosha kwa muda wa wiki,nguo hasa makufuli if u ar ze woman coz its 2hot na maeuka hakuna is vbanda.

mbona unaadithia ya wenzako tupe data zako kabla na baada ya kwenda loliondo! Vp ulikuwa una umwa nini na ulipima kabla ya kwenda na matokeo baada ya kwenda yakoje! Umepima baada ya kurudi kama hapana kaa kimya mpaka upime tumechoka na story ooh nimepata nafuu tunataka vipimo kutoka hospital. Thats all nt otherwise
 
Salam sana wana jf.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi kujvuta nje.
Ila sasa hali ya maisha ni ngumu mno.imagine soda,ni1000,maji madogo1500,sujari 1kg3000.
Ila babu kaonya kwamba asije m2 akategemea kupata faida kutokana na kudhulumu wagonjwa.
So wito kwa wanaokuja kwa babu,kupona ni hakika ila kuna foleni ile mbaya,beba chakula, na aji yanayotosha kwa muda wa wiki,nguo hasa makufuli if u ar ze woman coz its 2hot na maeuka hakuna is vbanda.

sasa mkuu .. umesema bado hujapata huduma inamaaana upo line ya nyuma nikimaanisha mbele yako kuna umati!! sasa yanayotokea kuleeeeeeeee mbele umeyaonaje! au unayasikia tu!
 
Salam sana wana jf.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi kujvuta nje.
Ila sasa hali ya maisha ni ngumu mno.imagine soda,ni1000,maji madogo1500,sujari 1kg3000.
Ila babu kaonya kwamba asije m2 akategemea kupata faida kutokana na kudhulumu wagonjwa.
So wito kwa wanaokuja kwa babu,kupona ni hakika ila kuna foleni ile mbaya,beba chakula, na aji yanayotosha kwa muda wa wiki,nguo hasa makufuli if u ar ze woman coz its 2hot na maeuka hakuna is vbanda.

Wewe umepona ugonjwa gani? Umeshapima baada ya kurudi kwa babu? Kama hujapima ukishapima tufahamishe na wengine wende huko
 
sasa mkuu .. umesema bado hujapata huduma inamaaana upo line ya nyuma nikimaanisha mbele yako kuna umati!! sasa yanayotokea kuleeeeeeeee mbele umeyaonaje! au unayasikia tu!

Tomaso! Nenda :juggle:
 
Back
Top Bottom