Salam sana wana jf.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi kujvuta nje.
Ila sasa hali ya maisha ni ngumu mno.imagine soda,ni1000,maji madogo1500,sujari 1kg3000.
Ila babu kaonya kwamba asije m2 akategemea kupata faida kutokana na kudhulumu wagonjwa.
So wito kwa wanaokuja kwa babu,kupona ni hakika ila kuna foleni ile mbaya,beba chakula, na aji yanayotosha kwa muda wa wiki,nguo hasa makufuli if u ar ze woman coz its 2hot na maeuka hakuna is vbanda.
Mm nimefka kwa babu tangu jmosi nasijapata huduma kutokana na foleni kua kubwa.ila nliojionea! wenyenye vfafa,wanapata glasi ndani ya dk2 waepona.hakunapovu wala maulimi kujvuta nje.
Ila sasa hali ya maisha ni ngumu mno.imagine soda,ni1000,maji madogo1500,sujari 1kg3000.
Ila babu kaonya kwamba asije m2 akategemea kupata faida kutokana na kudhulumu wagonjwa.
So wito kwa wanaokuja kwa babu,kupona ni hakika ila kuna foleni ile mbaya,beba chakula, na aji yanayotosha kwa muda wa wiki,nguo hasa makufuli if u ar ze woman coz its 2hot na maeuka hakuna is vbanda.