magombe junior
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,015
- 1,032
Sikumbukagi chochote kwa ma x mie, past has gone....
Aka katabia ni kamuhim sana...u let the past rest unafanya yako......when u let ure past stick on u.. u wil keep on being old ever!!!
Sikumbukagi chochote kwa ma x mie, past has gone....
Alikubaka kwani?
Mimi nakumbuka tu fedha nilizowekeza I put in a wrong place ni bora hata ningenunua tofali au vifusi vya mchanga
Sikumbukagi chochote kwa ma x mie, past has gone....
Moja wapo ni hili,
Je, wewe umejifunza nini kwa x wako?
Moja wapo ni hili,
Mimi nilifikiri kwamba wanawake wakimya, watulivu ndio waaminifu kuliko wanawake waongeaji, wacheshi na crazy lady kumbe siyo kabisa. Kweli usihukumu kitabu kwa cover lake. Kikubwa zaidi nimejifunza, haijalishi ni kwa kiasi gani unamjali au umewekeza kwake, akiamua kukuacha anakuacha tu pamoja na kuwa umewekeza pesa zako nyingi au laa.
Je, wewe umejifunza nini kwa x wako?
Watu wengine utepe umekatwa kwa kubakwa akumbukwe kwa kipi?
katika watu nnaowachukia mie huyo mtu wangu wa kwanza namchukia mfano hakuna
Ambhe Musubhati...Najua hapo nishakutoa KO, Chezeiya Yego wewe!.
Sikumbukagi chochote kwa ma x mie, past has gone....
Mweto, ulibwahene?? Bhaaa
Mweto, ulibwahene?? Bhaaa
Mpwa wewe sawa wewe! Kwani. Unao ma X wangapi?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hata alivo kudungua utepe???
Watu wengine utepe umekatwa kwa kubakwa akumbukwe kwa kipi?
katika watu nnaowachukia mie huyo mtu wangu wa kwanza namchukia mfano hakuna
Umejuaje ninae?