kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Moja wapo ni hili,
Mimi nilifikiri kwamba wanawake wakimya, watulivu ndio waaminifu kuliko wanawake waongeaji, wacheshi na crazy lady kumbe siyo kabisa. Kweli usihukumu kitabu kwa cover lake. Kikubwa zaidi nimejifunza, haijalishi ni kwa kiasi gani unamjali au umewekeza kwake, akiamua kukuacha anakuacha tu pamoja na kuwa umewekeza pesa zako nyingi au laa.
Je, wewe umejifunza nini kwa x wako?
Mimi nilifikiri kwamba wanawake wakimya, watulivu ndio waaminifu kuliko wanawake waongeaji, wacheshi na crazy lady kumbe siyo kabisa. Kweli usihukumu kitabu kwa cover lake. Kikubwa zaidi nimejifunza, haijalishi ni kwa kiasi gani unamjali au umewekeza kwake, akiamua kukuacha anakuacha tu pamoja na kuwa umewekeza pesa zako nyingi au laa.
Je, wewe umejifunza nini kwa x wako?