Mama Jolene
Member
- Mar 30, 2012
- 17
- 3
Wakuu namshukuru sana Mungu maana nimepokea barua ya kuitwa kazini. Cha ajabu hawajatoa majina kwenye web. Kuna siri gani hapa?
Wakuu namshukuru sana Mungu maana nimepokea barua ya kuitwa kazini. Cha ajabu hawajatoa majina kwenye web. Kuna siri gani hapa?
Wakuu namshukuru sana
Mungu maana nimepokea barua ya kuitwa kazini. Cha ajabu hawajatoa majina
kwenye web. Kuna siri gani hapa?
Wakuu namshukuru sana Mungu maana nimepokea barua ya kuitwa kazini. Cha ajabu hawajatoa majina kwenye web. Kuna siri gani hapa?
hivi kazi za afisa tarafa ni zipi jamani na wanaajiriwa kwenye idara gani?
hongera sana kapige kazi kijijini sasa....