uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,265
- 9,389
Yah sio mara ya kwanza kujiunga na mtandao wa X hii ilikuwa mara ya pili nikiamini labda mda huu ninaweza kumudu ila nikashindwa tena.
X Kuna negativity sio za dunia hii.
X kuna majadiliano yenye kuumiza na kuvunja sana moyo eg mgogoro wa Palestine na kule Nigeria north unaona yanayotokea hadi nafsi inakata tamaa.
X Kuna picha na video za ngono zimetapakaa hadi sio poa. X Kuna matusi na fujo.
Kimsingi ni rough street kama auhitaji kwenda kule Baki Facebook na JF ni safe sana.
X Kuna negativity sio za dunia hii.
X kuna majadiliano yenye kuumiza na kuvunja sana moyo eg mgogoro wa Palestine na kule Nigeria north unaona yanayotokea hadi nafsi inakata tamaa.
X Kuna picha na video za ngono zimetapakaa hadi sio poa. X Kuna matusi na fujo.
Kimsingi ni rough street kama auhitaji kwenda kule Baki Facebook na JF ni safe sana.