ABEDNEGO
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 109
- 30
Wajemeni Salaam Aleikum,
Nilisafiri katika kutafuta maisha miaka kama miwili,Na kumwaacha mansapu akiendesha miradi yetu ya hapa home.Nimerudi nimekuta kila kimmoja kimepita njia yake hata watoto wana dalili za kwarkoo.
Kudadisi nikaambiwa ndugu yangu ambaye ni jirani kabisa alikuwa anachakachua mansap kwa kwenda mbele.Mama hatulii home kila kukicha mguu na njia anarudi anapoona,Watoto walale njaa hana habari.
House girl mwenyewe kachoka,Vijana kwenye miradi waliifanya yao na kuchukua walichoona.Sasa mie sina chochote gari niloacha ni mkweche ambao hata kulipiwa road licence tangu nimeondoka.
Sasa kumfukuza nashindwa kwani tuna watoto watatu nae,ndoa ya kanisani,nk Nimfanye nini huyu ndugu yangu ?
Nilisafiri katika kutafuta maisha miaka kama miwili,Na kumwaacha mansapu akiendesha miradi yetu ya hapa home.Nimerudi nimekuta kila kimmoja kimepita njia yake hata watoto wana dalili za kwarkoo.
Kudadisi nikaambiwa ndugu yangu ambaye ni jirani kabisa alikuwa anachakachua mansap kwa kwenda mbele.Mama hatulii home kila kukicha mguu na njia anarudi anapoona,Watoto walale njaa hana habari.
House girl mwenyewe kachoka,Vijana kwenye miradi waliifanya yao na kuchukua walichoona.Sasa mie sina chochote gari niloacha ni mkweche ambao hata kulipiwa road licence tangu nimeondoka.
Sasa kumfukuza nashindwa kwani tuna watoto watatu nae,ndoa ya kanisani,nk Nimfanye nini huyu ndugu yangu ?