Nimegundua haya

REALITY

JF-Expert Member
Jul 2, 2014
4,297
1,828
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
 
Habari wakuu
1. Binadamu hawafi ,miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
 
So unaamini kwenye reincarnation...; if that was the case basi population ingekuwa constant haiongezeki since beginning of time...

Ukweli ni kwamba nature works in an ecosystem wewe ni chakula cha viumbe vingine una-support life form ya viumbe wengine kuondoka kwako wewe as a specie huenda kusiwe na overall effect ya viumbe wengine sababu vinaweza vika-adapt accordingly... By the way binadamu ni Kirusi mbaya sana anayeharibu mazingira na maisha ya viumbe wengine nadhani akiondoka na kuwa extinct viumbe wengine will be better of...
 
So unaamini kwenye reincarnation...; if that was the case basi population ingekuwa constant haiongezeki since begging of time...

Ukweli ni kwamba nature works in an ecosystem wewe ni chakula cha viumbe vingine una-support life form ya viumbe wengine kuondoka kwako wewe as a specie huenda kusiwe na overall effect ya viumbe wengine sababu vinaweza vika-adapt accordingly... By the way binadamu ni Kirusi mbaya sana anayeharibu mazingira na maisha ya viumbe wengine nadhani akiondoka na kuwa extinct viumbe wengine will be better of...
Miili ndo specie ila wewe sio,life in this world is just an experience with us using bodies as our vehicles,this is the lowest dimension we have more dimensions to interact ,others dont need bodies or even air
 
Habari wakuu
1. Binadamu hawafi ,miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Ukifa uelekee gizani na siyo kwenye mwanga 🤣🤣🤣
 
Habari wakuu
1. Binadamu hawafi ,miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Baadhi ni ya Ukweli ila 9 sio kweli
 
Kama kuna spirit kumi ambazo zinamiliki vehicles kumi basi vehicles zisingeongezeka zingekuwa constant....
Vehicles kila siku zinaletwa toka mahospitalini zikiwa new,na spirits kila siku zinaacha vehicles zinarudi amnesia camp na kurudi kwenye circle again.

Ukiacha hizi center za amnesia ambazo zinateka roho na kufuta kumbukumbu na kuzirudisha kuvaa miili na kuanza moja,kuna sayari zingine zinakuja spirits zingine kuexperience ''what is it to be in body'' na zingine pia huletwa kama wafungwa waliokosea kwenye dimensions zao.

Dunia ni dimension moja yapo kati ya nyingi ambazo pengine hatuzikumbuki maana tulikuwa wiped memory.mf
Dunia ikiwa kwenye dimension ya 97.7fm jua kuna dimension ingine ipo katika 100.2fm zote zina spirits/lifeforms hazijuani ila zinabroadcast kwahiyo ukitaka kwenda kwenye station ingine lazime utoke kwenye station uliopo that how it works
 
Once you die, mean you're lost away! but soul stay stranded at home place environment forever ever, that soul we call ghost!, or family ghost that always like to be remembered, and honoured!
 
Hizi imani potofu za kuaminisha watu hakuna MUNGU wala hakuna hukumu baada ya kifo zinazidi kupamba moto.

Acha niiishi vema kwa kutenda mema, kama nikienda huko nisimkute Mungu sitapata hasara, ili nikimkuta wakati nilimkana huku duniani hakika itakuwa hatari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom